Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Tupiamo vipicha ili watu tumjue naona watu wanachanganya black mamba na koboko

tapatalk_1503984181442.jpeg
 
Ni balaa hicho kifaa kinaweza kuua watu mia in 5min acha tu,huku kwetu ushirombo ndo vipo,kuna siku nimekutana nacho kinavuka barabara ya vumbi,nikasimama nikarudi nyuma na corola yangu nikakipitia shaaaaaah kumbe sikukigonga kikanasa chini ya gari,bahati nzuri nilikua naenda mwendo mrefu,kufika lami nikaona kitu kimeanguka kwa nyuma dah nikashukuru sana,nikawaza ni vp ninheenda nacho home?
Si mchezo
 
Ila kuna documentary fulani ya nyoka hatari zaidi duniani niliiona NatGeo wazungu wawili wanamkanata huyu koboko.. Ilikuani ni mapori ya zambia
Nyoka yupo juu ya mti wamemshusha na wakamuingiza kwenye chombo kama kipipa hivi.. Walikua wanatumia fimbo flani maalum kumbebea
Nyoka ni mkali anafoka balaa na jamaa walikua care kinoma
 
Koboko ni hatari sana. Hana tabia ya kumkimbia mtu. Ukimuona kimbia, akikudokoa unadakika zisizozidi 30. Hapo kwenye simba na chui umetudanganya babu. Probability ya kusurvive ukikutana na koboko ni kubwa kuliko hao simba na chui.

[HASHTAG]#Silaha[/HASHTAG] namba 1 ya vita ni mbio!
 
Koboko nao huwa wanafanya makosa huyu koboko alitaka kumgonga utosini Nguchiro kwa bahati mbaya zake zikawa zimefika.
downloadfile.jpg
 
Koboko black mamba achana nae kabisa show zake siyo za kitoto ukikutana nae anza kutubu dhambi zako mana hujui ni mapigo gani atakayo kupiga.
 
Back
Top Bottom