kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,340
- 12,055
Tupiamo vipicha ili watu tumjue naona watu wanachanganya black mamba na koboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupiamo vipicha ili watu tumjue naona watu wanachanganya black mamba na koboko
Si mchezoNi balaa hicho kifaa kinaweza kuua watu mia in 5min acha tu,huku kwetu ushirombo ndo vipo,kuna siku nimekutana nacho kinavuka barabara ya vumbi,nikasimama nikarudi nyuma na corola yangu nikakipitia shaaaaaah kumbe sikukigonga kikanasa chini ya gari,bahati nzuri nilikua naenda mwendo mrefu,kufika lami nikaona kitu kimeanguka kwa nyuma dah nikashukuru sana,nikawaza ni vp ninheenda nacho home?
Nyoka si wazuri Jolie waogopage hivyohivyoSijawahi kuacha kumuogopa huyo kiumbe aisee [emoji125] [emoji125] [emoji125]
MbwembweKuna nyoka wanafiki sana, sasa huko anaenda wapi?
Puff adder ni kifutu ambae ni mfupi na wanauwa sana kuliko hata koboko
Koboko ndio huyu wanaogopa hata kumtaja jina na ndio huyu black mambas
Huyu hapa anaezungumziwa
Hebu msome kidogo View attachment 766058
Koboko ni black mamba acha ubishi weweHapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
HAHAA my ribsKuna koboko mmoja alikuta roli la madawa limeanguka vidonge vikawa vimesambaa kila mahali kwa njaa zake koboko yule akala Viagra basi alisimama mwezi mzima.
haha hahaaNikweli mkuu hivi viumbe vinafanana huyu wa kwenye suruali pia ni mkali mpaka tunamfugia kwenye zipu.
aisee karate tena ...!? haha hahaaNa kweli mambas ni khabari nyingine halafu mshari sana
Ila kwa badger au mongoose ndio balaa pia kuna ndege anitwa Secretary Bird huyu anapiga karate kama Jet Li
hahaa karate tena ??Na kweli mambas ni khabari nyingine halafu mshari sana
Ila kwa badger au mongoose ndio balaa pia kuna ndege anitwa Secretary Bird huyu anapiga karate kama Jet Li