imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Rufita.Hahaha, mkuu utakuwa mwenyeji wa tabora mkuu, mitaa gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rufita.Hahaha, mkuu utakuwa mwenyeji wa tabora mkuu, mitaa gani
Itakuwa aliingia pori la tumbi au ilolangulu kwa akina lipumba,Walipokaribia Town akageuza zake Urambo.
AiseeNdio maana ni bingwa wa "ambush"nimeona alivyomng'ata faru mmoja yule faru mguu ulikuwa unaoza huku anauona.
[emoji23][emoji28][emoji23] habari nyingine chiefHuyu tembea yake huwa kama kinyonga tatizo usije mkanyaga, ila niliwahi ona akitoka mbio kuliko koboko tulipokuwa tunachoma rundo la majani kumbe alikuwemo, alitoka speed kali utadhani msafara wa magu vijijini, halafu kinyonga nae huwa maringo nishakuta kinyonga akienda speed ya mjusi akikimbia moto uliokuwa unachoma msitu,
Hao wanyanyembe huwa nawanyanyulia mikono wana madawa koboko mwenyewe anatuliaga.Itakuwa aliingia pori la tumbi au ilolangulu kwa akina lipumba,
Hebu fikiria ngozi ya faru ilivyo ngumu.Aisee
sio mchezoHebu fikiria ngozi ya faru ilivyo ngumu.
Mpaka leo yule faru ni kilema.sio mchezo
Mie nimesomea kilw primary, nilishawahi muona jirani yangu akizindika shamba lake porini la mahindi kama heka 10, alipokuwa anazindika ile dawa alikuwa uchi na ilikuwa mida ya jioni, tulienda tafuta matunda flani hivi huwa yanaitwa mantonga wenyeji wa tabora wanayafahamu, wakati tunarudi ndio tukaona hivyo vitimbi, mwenzangu akasema anazindika shamba lake, hakuna mnyama atakayevamia wala kuibiwa mpaka atakapovuna, na ndio ilivyokuwa, manake kule wanyama wa porini ni wengi tu, na kweli mpaka alivuna, nikasema waafrika tuko mbali, hivyo nakubaliana na wewe, wakonongo ni namba nyingineHao wanyanyembe huwa nawanyanyulia mikono wana madawa koboko mwenyewe anatuliaga.
wanawashwa washwa hao.Ni kweli, Nyoka wale wenye Sumu kali, wanaweza kukugonga bila sababu, tena ikiwezekana anakufuata hata kama uko mita 100, Sijui ile Sumu inawawasha.
Nae anaenda kwa mahesabu makali sanaa maana akiotewaa Bite mojaa tu anakuwa mpolee balaaa...Kiboko ya koboko ni nyegere
True! Wanyamwezi mazindiko wanayajua.anazindika shamba lake, hakuna mnyama atakayevamia wala kuibiwa
Wana zindiko 1 la nyumba lile kiboko, kama mwanga akisogelea anakita nyumba imezungukwa na ziwa, watu asubuhi wanapita kwenda mashambani, wanakuta mtu anapiga mbizi kwenye majani au matuta, hawa jamaa ni kiboko aisee wana watu wao wanazindika wachawi kwamba akirudi tu anakufa wenyewe wanawaita kamchapeTrue! Wanyamwezi mazindiko wanayajua.
Kwa mujibu wa watalamu nyoka huyu ndiye mwenye kasi kuliko nyoka yoyote wa nchi kavu, anakimbia 20kmp. Labda Bolt anaweza kujaribu kumuacha. [emoji23] [emoji23] [emoji23]NI NYOKA WENYE SUMU KUBWA SANA,MFANO TUU BLACK MAMBA AMBAYE HUKU NDIO TUNAMWITA KOBOKO ANAUWEZO WA KUKUGONGA MARA 120 BILA KUCHOKA WALA KUPUNGUZA KIWANGO CHA SUMU ANAYOTEMA KILA ANAPOKUGONGA,SUMU AMBAYO INAKWENDA KUHARIBU NEVA ZA FAHAMU,PIA CHEMBE ZA KUGANDISHA DAMU ILI USITOKE KWENYE JERAHA YAANI PLATELETS HUWA HAZIWEZI ZUIA DAMU ISIACHE KUTOKA,NA PIA HUATHIRI MFUMO MZIMA WA DAMU,NI NYOKA HATARI SANA,
Hahaa umenikumbusha mbali mkuu,uzuri wa wataalam wa Mboka huwa wako vizuri.hawa jamaa ni kiboko aisee wana watu wao wanazindika wachawi kwamba akirudi tu anakufa wenyewe wanawaita kamchape