Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Kuna jamaa kamuua kwa kumkata kichwa koboko mdogo cha ajabu kile kichwa kilimgata kwenye soli ya kiatu,jamaa alikuwa na bahati kama angekuwa peku ingekuwa ni kifo tu.
 
Sasa kwani si venom inatendenezwa na cell maalum ambazo zipo sehemu maalum ikitoka ikienda kwingine lazima iwe na effect .. Ni sawa na HCL acid ya tumboni ukiiweka mdomoni lazima ikuharibu
Unaambiwa King cobra yuko immuned na venom ya cobra hata yake mwenyewe ila kwenye venom yake mwenyewe inamuozesha tissue tu,kwa hiyo neurotoxins ndani ya sumu yake haina madhara kwake.
 
Unaambiwa King cobra yuko immuned na venom ya cobra hata yake mwenyewe ila kwenye venom yake mwenyewe inamuozesha tissue tu,kwa hiyo neurotoxins ndani ya sumu yake haina madhara kwake.
ndugu koboko mkomavu,endelea kutupa updates za koboko wenzio
 
Tena meno yao ni mengi halafu marefu kibaya zaidi yameangalia ndani ina maana huyu nyoka akikung'ata no chance lazima uingie mdomoni.
Zamani niliposikia habari zake sikusikia kuhusu meno
Kwahiyo ile zana ya kusema chatu akikudaka jitanue sijui mchane, lazima ujeruhiwe
 
Zamani niliposikia habari zake sikusikia kuhusu meno
Kwahiyo ile zana ya kusema chatu akikudaka jitanue sijui mchane, lazima ujeruhiwe
Mkuu angalia picha hii huyu jamaa amang'atwa na chatu mdogo wa kufugwa sasa kama angekuwa mkubwa ingelikuwa ni hatari sana
maxresdefault.jpg
maxresdefault.jpg
 
Ukiachana na yote huyo mdudu ana tabia ya kulipa kisasi.

Mfano mmemshambulia akasepa, jua anawaweka kiporo siku mkipata maneno yake ya kujidai hata kama hamna niaje nae mtapewa chai.
 
Kuna sehemu nipo huku mkoani Tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana Tabora ,Shinyanga,Singida na Kigoma.

Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko. Nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayari kumuongelea kiundani wala kumtaja kwasababu ukiwa ndani ya mkoa wa Tabora au Shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.

Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chui?


-----

Pia soma...
Mkuu kuna kifaa kinaitwa Inland TAIPAN ni moto wa kuotea mbali..koboko anasubiri. Alhamdllah huyu nyoka huwa haonekani sana na ni nadra sana kukutana nae na ukikutana nae basi huchukui SEKUNDE 30. The fast moving with extreamly deadliest venom.

Kwa huyu koboko ni mchumba
 
fungua mkuu
huyo mtaalam... huwa hafanyi makosa akiwa kazini, kipind cha zaman kidogo.... wazungu walienda tabora... wakasikia habari ya kiumbe huyu( kama ilivyo marufuku kumtaja jina)... wakabisha sana juu ya habar zake... maana wao walikuwa wanaamin hakuna kama cobra..

shauku ilivyowajaa... wakatoa dau zuuri... kwa kijana atakayemkamata 'mtaalam' na kuwaletea..... ghafla akajitokeza masai mmoja kwa kujiamin.. kuwa wampe siku tatu... atakuwa ameshamkamata....

masai akazama vichakani.... katika kupitapita... akamkuta mtaalam anakula asali..... masai akamvalisha gunia mtaalam pamoja na mzinga wa asalii.....

aisee... itaendelea... nisije nikafungua uzi ndan ya uzi....
 
Honey badger akikutana nakoboko aliekomaa panakua hapotoshi anaweza kumwua ila nayey hachukuia round
Honey badger hakuna sumu ya nyoka inayomuua...atapooza kwa muda then atazinduka na kuendelea na mishe zake. Wazungu walipmfanyia uchunguzi waligundua kuwa Honey badger ana uwezo wa kuzalisha seli za kumkinga dhidi ya sumu usio wa kawaida.
 
Ukiwa unamsogelea anatoa sauti ya kukuonya siyo kwamba anakua kajikausha kua anakuogopa.

Isipokua sauti hua anaitoa kwa chini mno na kwa vile mara nyingi kukutana naye ni porini unaweza kuhisi ni majani ndiyo yanatoa mlio.

Na puff ader ndiyo death adder, mnyama kukabidhiwa jina hilo siyo shughuli ndogo.
Duuh ..hatar sana
 
Back
Top Bottom