Kocha Amunike awaondoa wachezaji wa Simba Taifa Stars kwa kuchelewa kuripoti kambini

Umeongea point mpaka raha tayari kashagawa mashabiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tulia tuangalie Mchezo Mkuu Huyu Hazijui Fitina Za Bongo! Na akamuulize Masio Maximo yaliyomkuta (Sina uhakika Kama jina lake nimelipatia).

Kwasababu Taifa Stars Hata Kama Hakuwafukuza Zao inajuilikana Kuwa Ni Mbovu itafungwa tu Mbeleni haina Safari. Lakini Sifa ya Wabongo Kwenye Mambo yao Wanakulia Timing tu! Watasubiri Taifa Stars ifungwe Hata Kama Wanajua Kuwa Ni Kawaida Kufungwa! Lakini watakuja na Sababu Kocha Hafai Kwasababu Kawaacha Kina Mkude na wenziwe... Hapo ndiyo balaa itakapomuanzia..
Hill linanikumbusha Kwa Maximo Wabongo Waliposema Tumekosa Kushiriki AFCON Kwasababu Maximo Hamvhezeshi Kaseja.
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana...umeshawahi kusikia Ronaldo kaitwa timu ya taifa halaf kachelewa kufika bila taarifa?!..mbona manula kafika kwa wakat hao wenzake kwann wachelewe tena bila taarifa?
Hata kama Manula alifika. Lakini kanuni haikumruhusu yeye kuwahi ni maamuzi tu. Timu inatakiwa kumruhusu mchezaji saa 72 kabla ya mchezo na anatakiwa arudi klabuni kwake saa 24.

Wachezaji hawajavunja kanuni. Tuache mihemko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Tumempa rungu tukubali matakwa yake. Ndiyo kocha.
 
Hapana za Baba yako... hii sio commedy ni soka huwezi elewa kitu na sio kila kitu lazima uchangie....waache wanaojua mpira wachangie....sijui kama unafahamu hata historia ya Amunike ...pole
Ndio uandish gani?. Hujui kitu na wewe pumba zote ni zako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwahiyo manula alikwenda kambini bila ruhusa ya klabu yake?!
 
Hivi kweli huyu kocha mpya anajua mpira wa kibongo kweli

ngoja aje kufungwa hata mechi moja hapo ndo atajua watanzania ni watu wa Aina gani
 
mpira wa kibongo unatawaliwa na SIMBA na YANGA sasa ngoja tushuhudie maneno baada ya kufungwa hata mechi moja wanao msaport kwa sasa ndo hugeuka mwiba kwenye kibarua chake
Kinachotakiwa kocha asingiliwe kwenye maamuzi yake kuendesha timu!
Sema usamba na uyanga ni shida aise hzo timu zinaaribu soko tu la bongo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpira wa kibongo unatawaliwa na SIMBA na YANGA sasa ngoja tushuhudie maneno baada ya kufungwa hata mechi moja wanao msaport kwa sasa ndo hugeuka mwiba kwenye kibarua chake
Atajuta kuifahamu bongo
 
tumeshazoea kufungwa hata tukifungwa mara mia mbili siumii tena alichofanya kocha nimekipenda huu umwinyi walionao wachezaji ndio unasababisha tusifanye vizur
 
tumeshazoea kufungwa hata tukifungwa mara mia mbili siumii tena alichofanya kocha nimekipenda huu umwinyi walionao wachezaji ndio unasababisha tusifanye vizur
sasa na alio wateuwa c kaweka mamwinyi wale wale kabadilisha nn
 
Kocha kafanya la maana sana, wachezaji wa kibongo wana kua na bichwa sana wakishaanza kusifiwa na kua na kiburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…