Kama umeshindwa kuelewa potezea tu.Scenario unayozungumzia wewe ni mpira uliopigwa kwa angle ya juu, kama ulisoma physics utaelewa. Ila kwa ule mpira ulivyopigwa hauwezi kuwa uliingia ndani kisha utoke nje. Njio na picha ikionesha mpira ukiwa umevuka mstari kwa asilimia 100
Mchoraji atakua bwaksMstari wa offside
Na ninyi vyura mlibebwa pia kule MbeyaNdo hivyo mkuu..... makolo Yanabebwa
Poleni. Hakuna timu ya kuifunga Simba huu msimu kwenye ligi.Angalia hayo magoli yanavyopatikana mengi ni ya ghafla bin vuu
Kwavile umeshindwa kuleta uthibitisho, unaongea hisia kuliko uhalisiaKama umeshindwa kuelewa potezea tu.
Ewaaa! Hiyo kazi nitaifanya kwa ufanisi kabisa yaani. 😅Ngoja nikutafutie connection ukawe mshika kibendera mechi ya mtani alafu nawe uwape yanga goli la offside
Goli la kwanza huwezi mlaumu mshika kibendera, ilikuwa ngumu kuiona. Ila lile la pili sijui alikuwa anafikiria nini?KOCHA AZAM: MAGOLI YOTE YALIKUWA OFF-SIDE.
.
“Tunahitaji VAR magoli yote mawili ni offside za wazi , Simba ni timu kubwa hilo hatukatai niwapongeze wachezaji wangu lakini kwanini offside ni kwetu tu”
Maneno ya Rachid Taoussi kocha mkuu wa Azam FC baada ya kumalizika kwa mchezo.View attachment 3107860
Unamnyonga mtani vizuri kabisa tena na vile striker wao anatoka nduki...akizidi pua tuu wee kibendera juuuEwaaa! Hiyo kazi nitaifanya kwa ufanisi kabisa yaani. 😅
Hujui mpira. Don’t waste my time wtf?Kwavile umeshindwa kuleta uthibitisho, unaongea hisia kuliko uhalisia
Unamnyonga mtani vizuri kabisa tena na vile striker wao anatoka nduki...akizidi pua tuu wee kibendera juuu
Wikend wann hi mnakipiga na nani?Hakika. 😅
Japo makolo watakupingaGoli la kwanza huwezi mlaumu mshika kibendera, ilikuwa ngumu kuiona. Ila lile la pili sijui alikuwa anafikiria nini?
Ila pamoja na yote Azam alicheza mpira wa hovyo yaani ukiachana na ule mpira wa Fei uliogonga nguzo, hawana short on target hata moja.
Umeumia wapi ?Hii mechi ....Simba alikuwa anapoteza kabisa but
Sometimes utabiri waweza kua affected na some technicalities
Mfano
Offside
Key player injury during match
Uchawi
That's what happened to a simba- Azam match...... Whe're simba had to lose this match....but due that factors above ......they ended up winning [emoji14][emoji14]