Kocha Azam: Magoli yote ya Simba ni clear offsides

Kocha Azam: Magoli yote ya Simba ni clear offsides

Hii mechi ....Simba alikuwa anapoteza kabisa but
Sometimes utabiri waweza kua affected na some technicalities

Mfano
Offside
Key player injury during match
Uchawi
That's what happened to a simba- Azam match...... Whe're simba had to lose this match....but due that factors above ......they ended up winning [emoji14][emoji14]
Alikuwa anapoteza hivi au vile its all irrelevant. Utabiri ni probability, unaweza usipate na kupata. Sasa wewe kwa sababu ulijiwekea matokeo yako yakaja mengine unajaribu ku explain why utabiri umefeli
Too late
 
Utopolo mnaumia sana kila Simba inaposhinda. Iliposhinda dhidi ya Tabora mlisema Yusuf Kagoma ni mchezaji wenu kwa hiyo Simba ipokonywe ushindi na Kagoma kawagomea kuwa yeye hajawahi kuwa mchezaji wenu. Hapo mkaishiwa maneno. Haya Simba kamfunga Azam mnaumia na kusema ni offside wakati juzi kati hapa mlibebwa kule Mbeya baada ya refa wenu(Man of the match) kuzulumu goli la KenGold kwa maslahi yake binafsi.
Nawaambieni msimu huu mtaumia sana mpaka hapo mtakapotoa huo mwiko huko nyuma.
Hapana mkuu... at least kuwe na fairness kwenye ushindi
 
KOCHA AZAM: MAGOLI YOTE YALIKUWA OFF-SIDE.
.
“Tunahitaji VAR magoli yote mawili ni offside za wazi , Simba ni timu kubwa hilo hatukatai niwapongeze wachezaji wangu lakini kwanini offside ni kwetu tu”

Maneno ya Rachid Taoussi kocha mkuu wa Azam FC baada ya kumalizika kwa mchezo.View attachment 3107860
Huu mstari au mshazari? 😂😂😂
 
Mstari halisi ni huu uliochorwa na AzamView attachment 3107988
Kwenye upande wa build up ya mashambukizi simba wajitathmini.
Wamekuwa na shida ya offside nyingi ikitokea wamekutana na waamuzi makini watapata kazi sana.
Ukitaka kuamini angalia hata goli la pili fhini ya waarabu kuna mtu alikuwa offside akaenda kumghasi kipa wakati anaucheza ule mpira hadi ukaingia wavuni.

Timu yangu ijiangalie sana
 
Ken Gold walifunga goli siku hiyo? Mbona mimi nimeona mpira umepitiliza hadi mwisho wa nguzo ya pili? Hata kugonga nguzo ya pili tu imeshindikana
Hujawahi kuona kona mpira unatoka nje kisha unaingia ndani?

Baada ya kuubabatiza nguzo na mkono wa Diara, ulivuka msitari 😀
 
Kwenye upande wa build up ya mashambukizi simba wajitathmini.
Wamekuwa na shida ya offside nyingi ikitokea wamekutana na waamuzi makini watapata kazi sana.
Ukitaka kuamini angalia hata goli la pili fhini ya waarabu kuna mtu alikuwa offside akaenda kumghasi kipa wakati anaucheza ule mpira hadi ukaingia wavuni.

Timu yangu ijiangalie sana
Positivity kubwa zaidi. Timu ni nzuri na kocha ni mzuri.
 
Positivity kubwa zaidi. Timu ni nzuri na kocha ni mzuri.
Upande wa defence timu omeanza kuelewana vizuri, utathibitisha kwa kuangalia jinsi kipa ja beki zake wanavyopanda na kushuka, ila kule mbele wajiimarishe zaidi.
 
Upande wa defence timu omeanza kuelewana vizuri, utathibitisha kwa kuangalia jinsi kipa ja beki zake wanavyopanda na kushuka, ila kule mbele wajiimarishe zaidi.
Simba ina magoli 9 na haijafungwa goli. Wameshinda mechi zote tatu..

Wastani wa goli tatu kila mechi.

Tulia mkuu.
 
Hujawahi kuona kona mpira unatoka nje kisha unaingia ndani?

Baada ya kuubabatiza nguzo na mkono wa Diara, ulivuka msitari [emoji3]
Hapo umezungumzia mpira unatoka nje kisha unaingia ndani sasa ule mpira kama ulikuwa upo ndani usingepitiliza goal line na nguzo pasipo hata kuugonga hata nguzo ya pili. Magoli ya mipira ya kona ukigonga nguzo ya pembeni kituo kinachofuata ni kugonga nyavu ya upande wa pili
 
Hapo umezungumzia mpira unatoka nje kisha unaingia ndani sasa ule mpira kama ulikuwa upo ndani usingepitiliza goal line na nguzo pasipo hata kuugonga hata nguzo ya pili. Magoli ya mipira ya kona ukigonga nguzo ya pembeni kituo kinachofuata ni kugonga nyavu ya upande wa pili
Dah! Basi nina mashaka hujawahi hata kucheza huo mpira.

Mpira unaweza kuvuka msitari na kurudi ndani kutegemea na jinsi ulivyopigwa au kubabatiza.

Mkuu mpira unaweza ku bend. Na kama kuna spinning ndo kabisa.
 
Dah! Basi nina mashaka hujawahi hata kucheza huo mpira.

Mpira unaweza kuvuka msitari na kurudi ndani kutegemea na jinsi ulivyopigwa au kubabatiza.

Mkuu mpira unaweza ku bend. Na kama kuna spinning ndo kabisa.
Scenario unayozungumzia wewe ni mpira uliopigwa kwa angle ya juu, kama ulisoma physics utaelewa. Ila kwa ule mpira ulivyopigwa hauwezi kuwa uliingia ndani kisha utoke nje. Njio na picha ikionesha mpira ukiwa umevuka mstari kwa asilimia 100
 
Kwenye upande wa build up ya mashambukizi simba wajitathmini.
Wamekuwa na shida ya offside nyingi ikitokea wamekutana na waamuzi makini watapata kazi sana.
Ukitaka kuamini angalia hata goli la pili fhini ya waarabu kuna mtu alikuwa offside akaenda kumghasi kipa wakati anaucheza ule mpira hadi ukaingia wavuni.

Timu yangu ijiangalie sana
Ahaaa
 
Back
Top Bottom