Kocha gwiji katika bara la Africa, Robertinho amethibitisha kuwa ni mtu hatari sana kimbinu. Wydad anakwenda kupasuka nyumbani kwake

Kocha gwiji katika bara la Africa, Robertinho amethibitisha kuwa ni mtu hatari sana kimbinu. Wydad anakwenda kupasuka nyumbani kwake

Sijaandika kwa presha, sijaona kigeni mpaka sasa kwasababu hayo yote Simba kaishayafanya misimu ya nyuma. Kama kumfunga bingwa mtetezi basi Simba ilishamfunga Al Ahly uwanja huu huu. Kama kushinda nyumbani kwenye robo fainali, Simba imeshinda karibia mechi zote ukiachana na mechi ya Tp Mazembe.
Kinachotakiwa sasa ni kuvuka stage na sio kuridhika na hatua moja hiyo hiyo. Binafsi nitampongeza Robertinho kwa kuwatoa Wydad mashindano kwasababu ni muda mrefu Simba haijacheza nusu fainali.

Tufikie wakati tutamani kubeba makombe na sio kuridhika kuishia njiani.
Wew ulishavuka hatua ipi kweny mashindano gan ya champs ligue?
 
Wachang'ombe wa mchongo tunataka mzidi kuleta polimilai zenu dhidi ya Simba sc ila jueni Wydad anakwenda kupasuka nyumbani kwao.
Kumpsua hatutompasua ila anaenda kutokea nyumbn kwke game full time 1-0, anatoka kw penati 1-1 au 0-0
 
Back
Top Bottom