Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

We unaona alikuwa na msaada? hakuwa na plan B timu inapoelemewa. Na lile li-formation lake la striker 1 ilikuwa inaboa sana.

Kusema kweli yule 'paka' ametoa support kubwa sana. Hivi unajua hata huyo Patrick Aussems ambaye mashabiki wa Simba wanaona alikuwa 'kocha bora' naye alikuwa 'mweupe' tu asiye na msaada? Simba iliingia robo fainali kwa issue za kipaka paka,na wala si kwa uwezo wake. Ile mechi ya Simba vs Nkana ilikuwa imeshachezwa siku 2 kabla ya game halisi na viongozi wa Simba waliingia kwa Mkapa wakiwa na matokeo, NA NDIVYO ILIVYOKUWA.

Nyinyi watoto wa .com mnaosema zile issue huwa hazina msaada endeleeni kuamini hivyo. DUNIA SI KAMA UIJUAVYO.
PAKA FC wako vizuri sana
 
Kama alimsajiri Mugalu na Lwanga na Morrison, basi ni vema aondoke. Anasajirije watalii ?
 
Ni kweli kocha kaondoka
Screenshot_20210107-235140.jpg
 
We unaona alikuwa na msaada? hakuwa na plan B timu inapoelemewa. Na lile li-formation lake la striker 1 ilikuwa inaboa sana.

Kusema kweli yule 'paka' ametoa support kubwa sana. Hivi unajua hata huyo Patrick Aussems ambaye mashabiki wa Simba wanaona alikuwa 'kocha bora' naye alikuwa 'mweupe' tu asiye na msaada? Simba iliingia robo fainali kwa issue za kipaka paka,na wala si kwa uwezo wake. Ile mechi ya Simba vs Nkana ilikuwa imeshachezwa siku 2 kabla ya game halisi na viongozi wa Simba waliingia kwa Mkapa wakiwa na matokeo, NA NDIVYO ILIVYOKUWA.

Nyinyi watoto wa .com mnaosema zile issue huwa hazina msaada endeleeni kuamini hivyo. DUNIA SI KAMA UIJUAVYO.
Sasa swali kwako braza mbona tukienda weldi kapu hizi mdumba hazitusaidii...tupe ufafanuzi hapo maana ilitakkwa africa ndio tuwe na makombe ya dunia kama yote
 
Kwa habari zilizotufikia iv punde za ndani kabsa sven amepata dili nono sana kutoka raja Casablanca
 
Kwahiyo we unafikiri hao Wakongo hawafanyi hayo mambo? Mazembe walijiandaa kwa figisu zote;zinazoonekana na zisizoonekana. Ulijiuliza ni kwanini TP Mazembe waliamua kushukia uwanja wa ndege wa Songwe badala ya JKNIA, KIA au Mwanza Airport? Au unafikiri waliamua tu?

Baada ya Simba kumfanyia mbaya AS Vita hapa DSM,Mazembe walijulishwa kilichokuwa kinafanyika ndani ya Simba hivyo wakajipanga,la sivyo walikuwa wanaliwa kichwa pia.

AS Vita, Al Ahly, na hata JS Sourra walilalamikia kupuliziwa 'kemikali' vyumbani. Issue haikuwa kemikali bali kulikuwa kuna mengi zaidi.Na ingekuwa ni kemikali kiuhalisia CAF wangebaini na wangeipiga adhabu Simba.Ile ilikuwa kemikali ya kijadi ambayo wala huwezi kuithibitisha kwa vipimo vyenu vya kisayansi.
Unawaza upumbavu tu ndo,ujinga mtupu ,TP Mazembe walishuka Kongwe kutokana na kukosa kibali cha kushukia JKNIA
 
Mimi ni nani hata nisiamini kwamba ushirikina upo ikiwa Qur'an,Biblia na karibia vitabu vyote vya dini vinatambua uwepo wake? Kwahiyo soccer ni exceptional sana hata uchawi usiwemo ndani yake?

Eti unauliza kwanini sasa hatufiki fainali? Issue ni kwamba tunazidiwa vitu vingi:vipaji vya wachezaji,mbinu,mipango,uwezo wa kifedha,na ushirikina pia (huu ni catalyst tu) . Au unafikiri hao Al Ahly, TP Mazembe n.k wao wahayajui hayo na hawayafanyi?
Sasa huko Israel na Saudi Arabia kulikotokea Quran na biblia hawana lolote kwenye soka
 
We unaona alikuwa na msaada? hakuwa na plan B timu inapoelemewa. Na lile li-formation lake la striker 1 ilikuwa inaboa sana.

Kusema kweli yule 'paka' ametoa support kubwa sana. Hivi unajua hata huyo Patrick Aussems ambaye mashabiki wa Simba wanaona alikuwa 'kocha bora' naye alikuwa 'mweupe' tu asiye na msaada? Simba iliingia robo fainali kwa issue za kipaka paka,na wala si kwa uwezo wake. Ile mechi ya Simba vs Nkana ilikuwa imeshachezwa siku 2 kabla ya game halisi na viongozi wa Simba waliingia kwa Mkapa wakiwa na matokeo, NA NDIVYO ILIVYOKUWA.

Nyinyi watoto wa .com mnaosema zile issue huwa hazina msaada endeleeni kuamini hivyo. DUNIA SI KAMA UIJUAVYO.

Hivyo watz tumefikia kiwango cha chini kiasi hiki cha kufikiri? Ndumba, ndumba, ndumba!
 
Klabu ya soka ya Al-Ahly cairo ya huko nchini Misri katikati ya msimu uliopita wa ligi kuu ya kwao na pamoja na msimu wa klabu bingwa Afrika uliopita walisitisha mkataba na kocha wao Rene Weiler raia wa Switzerland ambaye aliipatia klabu yao mafanikio makubwa....wakasaini kandarasi mpya na kocha raia wa Afrika ya kusini Mosimane Pitso John ambaye kiukweli amekuwa bora zaidi ukimlinganisha na kocha aliyemtangulia kwa kuiwezesha klabu ya Al-Ahly kutwaa mataji karibu yote ya mashindano ya soka huko nchini kwao Misri plus ubingwa wa CAF champion league msimu uliopita....hivyo siyo jambo la kushangaza sana kuona Klabu inasitisha mkataba na kocha aliyeipatia klabu mafanikio katikati ya msimu...tuwe na subira tukisubiri ujio wa kocha mpya tukiamini atakuwa bora zaidi ya Sven
 
Bwege ni yule mzazi wako wa kike aliyekuzaa.

Yaani uchawi uwepo kwenye nyanja nyingine za maisha ila kwenye soka ndo usiwepo? What makes soccer exceptional?

Sijasema kwamba uchawi pekee unaweza kuibeba timu,hapana! Lazima viwepo vitu vingine vitakavyo combine na uchawi ili kuleta matokeo. Sasa hayo maeneo unayoyataja wanaweza kuwa wanakosa hivyo 'vitu vingine'.

Waulize wachezaji wenyewe kisiri siri watakwambia (achana na zile interviews zao ambazo huwa hawausemi ukweli). Waulize marefarii na wengineo.

Mfano:hivi unaposikia 'misumari' miongoni mwa wachezaji huwa unahisi ni kitu gani hicho? au unadhani haipo?
Ndo maana serikali inasisitiza matumizi ya condom. Kama condom ingetumika leo hii kusingeandikwa utopolo kama huu. 😁
 
Ngumu sana kufuatilia mpira wa bongo.

Yaani jana nashangaa jinsi Simba inavyoperform uwanjani eti leo wametimua kocha.

Klabu ipo kwenye mashindano, unaleta kocha mwingine aanze kutengeneza falsafa zake huku timu ipo mashindanoni.

Ni akili kweli?
 
Ngumu sana kufuatilia mpira wa bongo.

Yaani jana nashangaa jinsi Simba inavyoperform uwanjani eti leo wametimua kocha.

Klabu ipo kwenye mashindano, unaleta kocha mwingine aanze kutengeneza falsafa zake huku timu ipo mashindanoni.

Ni akili kweli?

Inategemea na vigezo vilivyotumika kuacha naye
 
Back
Top Bottom