Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

Kocha Mkuu Sven Ven Der Broeck aachana na Simba SC

Amenusa hatari mbele kaamua kusepa mapemaaa, hataki lawama.
 
Kishingo hataki uchawi , viongozi wanautaka
Kuna watu wanaamini uchawi kama Utopolo nchi hii?

Mnabanawa mbavu na Prison wachezaji wanaenda kukagua nyavu na kukung'uta taulo la goal keeper katikati ya mchezo!Mara mnagoma kupitia lango kuu,utopolo ndio wenye imani za kishirikina!

Simba imewekeza kwenye wachezaji wazuri,sio porojo za hovyo!
 
We unaona alikuwa na msaada? hakuwa na plan B timu inapoelemewa. Na lile li-formation lake la striker 1 ilikuwa inaboa sana...
Vipi kombe la dunia mbona timu za Africa huwa zinagaragazwa vibaya?Mpira ni uwekezaji kwenye vipaji na sio hizo ndumba mnazozifikiria wadanganyika!

Waganga wataishia kula hela zenu halafu wanawapangia na kikosi kabisa cha ushindi,kumbe mganga kaangalia ubora wa wachezaji!

Ni sawa na vita ya majimaji,eti walipewa dawa babu zetu kwamba risasi ikilengwa kwako inageuka maji!😁😁😁😁!
 
Kwahiyo we unafikiri hao Wakongo hawafanyi hayo mambo? Mazembe walijiandaa kwa figisu zote;zinazoonekana na zisizoonekana. Ulijiuliza ni kwanini TP Mazembe waliamua kushukia uwanja wa ndege wa Songwe badala ya JKNIA, KIA au Mwanza Airport? Au unafikiri waliamua tu?..
Uchawi hauchezi ndugu.. ingekuwa hivyo hata hao Al Ahly na TP Mazembe wasingekuwa wanatumia pesa ndefu kusajili.

Yanga angekuwa anaingia makundi kwani hawapendi kuwa makundi?
 
Unawaza upumbavu tu ndo,ujinga mtupu ,TP Mazembe walishuka Kongwe kutokana na kukosa kibali cha kushukia JKNIA
Huyo jamaa anaongea ujinga tupu.. Au babu yake kilinge kimekosa wateja?
 
Ngumu sana kufuatilia mpira wa bongo.

Yaani jana nashangaa jinsi Simba inavyoperform uwanjani eti leo wametimua kocha.

Klabu ipo kwenye mashindano, unaleta kocha mwingine aanze kutengeneza falsafa zake huku timu ipo mashindanoni.

Ni akili kweli?
Hoja ndio hii mkuu, hata mimi nilifikiri aendelee kulingana na hatua aliyofikia.

Ok. Kama kuna mambo wameshindwana hatuna la kubisha
 
Kuwaweka bench akina kahata, kagere, ajibu na nk ni kutokuwa na huruma na club na wachezaji wenyewe, club imeingia gharama kubwa ya kuwapata unaua vipaji vyao.
Wakiwekwa benchi hao timu haishindi? Wazungu wanakuambia never change a winning team. Kila mchezaji kanunuliwa kwa wakati tofauti, sasa yupi unataka akae benchi? Cha muhimu ni matokeo mbona hata huko ulaya akina bale, hazard, Mendy wa man city walionunuliwa kwa mahela mengi wanawekwa benchi .
 
Itakuwa ameamua kukwepa aibu za zaidi, badala ya kupanga kikosi cha kucheza, anapangiwa kikosi ambacho ni nyau watupu.
Analijua soka la Afrika vzr.. huku sio BELGIUM

Kikubwa timu iko MAKUNDI.. hapo vp UTOPOLOPHY?
 
Sikuwahi kumwamini huyu kocha hata chembe. Mbinu zake ni za hovyo kinachomsaidis ni uwezo wa wachezaji mmoja mmoja kama Chama au mikison.

Ni bora ubaki na Matola kushinda huyo jamaa Van da nini sijui.

I never trusted this guy
Kila timu inao wachezaji tegemeo kwenye timu mkuu.. labda useme mbinu
 
Jamaa anajua ukweli kua simba awakutoboa kwa mbinu za kimpira bali ni figisu figusu mixer kumlazimisha kocha kuamini mambo ya kishilikina, kocha ameona mbali kahamua kuwahachia timu yao.

Nasikia kawachana live kwamba hatua ya makundi hawawezi kutoboa kwa soka lao la kipaka paka kwa ufupi mzungu ajakubaliana na inshu za kishilikina zinazoendekezwa na viongozi wa simba
 
Sitaki kuamini kwamba simba wanaamini nyau na yule mganga ndio wakiowapa ushindi na si kocha [emoji81][emoji250][emoji81][emoji250]
 
Utelembwe hawajui nini wanataka [emoji23]
 
Kwahiyo we unafikiri hao Wakongo hawafanyi hayo mambo? Mazembe walijiandaa kwa figisu zote;zinazoonekana na zisizoonekana. Ulijiuliza ni kwanini TP Mazembe waliamua kushukia uwanja wa ndege wa Songwe badala ya JKNIA, KIA au Mwanza Airport? Au unafikiri waliamua tu?...
Wangewapulizia na Ruvu sasa au Prison
 
Back
Top Bottom