Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

Kocha mkuu wa Argentina: Messi alikuwa hazuiliki

Attachments

  • La pulga.jpg
    La pulga.jpg
    34.1 KB · Views: 3
Lionel Messi's skills that includes his magical dribbling ability has left fans in awe. Lionel Messi might well be the greatest dribbler that football world has ever seen.

Nakumbuka mwaka 2012 nlikuwa na jamaangu tunabishana kuhusu Messi na Ronaldo, jamaa alikuwa mbishi sana jamaa mshabiki wa Man United, ilivyofika 2015 kuna siku tulikuwa tunaangalia game ya barcelona alinifuata kisiri siri akaniambia kichini chini jamaa zake wasisikie “Ujue me nlikuwa timu Ronaldo ila kwa mabalaa anayofanya huyu mtoto Messi me nimehama ila usiwaambie wana” nlicheka vibaya mno, Messi sio mchezo anaesema Messi ni kawaida we muulize tu nan kaupiga mwingi kuliko messi alafu mwende kwenye data sasa, manake mpira sio maneno mdomoni mpira ni numbers
 
Lionel Messi's skills that includes his magical dribbling ability has left fans in awe. Lionel Messi might well be the greatest dribbler that football world has ever seen.

Kwa skills ni nani anamfikia Messi? Tokea 2006 hadi 2023 ni nani wa kumfikia Messi? Hebu weka statistics zako hapa acha maneno mengi mzee

Hii dunia Haijawah kuwa na mchezaji kama Messi, lile jini, mwaka jana Pep aliulizwa kuhusu kumfananisha eti Halland na Messi, pep akasema kwenye career yake yakufundisha mpira hajawah kumfundisha mchezaji talented kama Messi, akamwambia halland boli unapiga mwanangu ila wanaokufananisha na Messi wanakudanganya..
 
Boateng na Zlatan walikuwa wanatoa ushauri kwa vijana kama wanataka kuwa bora wamtizame CR7 kama mchezo wa mfano kwa kujituma na kufanya mazoezi sana kwani Messi ni mchezaji wa sayari nyingine kabisa.

Kocha wa Argentina amesema ukimwangalia mazoezi yake anayofanya na kitu anachofanya uwanjani ni tofauti jamaa ni hatari, uliza kina Macalister, Enzo Fernandez, Di Maria watakwambia mipango ya mpira ya yule bwana mkubwa ni hatari sana, watu wameanza kubisha toka 2010 mhuni yupo kwenye peak miaka 13 mfululizo, ni kutiaga kamba za kila aina , yan hadi magoli ya penati passi anatoa aloo acha kabisa
 
2022 world cup messi alikuwa alien hakuwa binadamu wa kawaida, alikuwa na kiwango cha juu sana, kuanzia kiufundi mpaka kimatokeo, ulikuwa ni mwaka wake wa kubeba maana uwezo na bahati vyote vilikuwa upande wake, alinishangaza jinsi alivyokuwa anakiwasha kwa umri ule, ni GOAT kwa kweli
 
Kocha wa Argentina amesema ukimwangalia mazoezi yake anayofanya na kitu anachofanya uwanjani ni tofauti jamaa ni hatari, uliza kina Macalister, Enzo Fernandez, Di Maria watakwambia mipango ya mpira ya yule bwana mkubwa ni hatari sana, watu wameanza kubisha toka 2010 mhuni yupo kwenye peak miaka 13 mfululizo, ni kutiaga kamba za kila aina , yan hadi magoli ya penati passi anatoa aloo acha kabisa
Skills+Dribbling+Asissting+Playmaking +Scoring = Messi

Hayupo mchezaji anaye yafanya hayo yote kwa usahihi kama Messi.
 
Tupo wengi sana kwa hicho kifaa, achana na akina Andunje wanaojifariji hawa, Ronaldinho alikuwa zaidi ya akina Messi na Ronaldo katika kuonesha ladha ya soka ilivyo na inavyopaswa kuwa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mess kawafanya mbaya sana tim CR7, hasa zile balandoo zake. kafunga kabisa ule mjadala nan ni bora kati yao. sasa mmeanza kujificha kwa akina Dinyo.[emoji23]......na mkikaa vibaya anaweza chukua tena had zifike 10
 
Nakumbuka mwaka 2012 nlikuwa na jamaangu tunabishana kuhusu Messi na Ronaldo, jamaa alikuwa mbishi sana jamaa mshabiki wa Man United, ilivyofika 2015 kuna siku tulikuwa tunaangalia game ya barcelona alinifuata kisiri siri akaniambia kichini chini jamaa zake wasisikie “Ujue me nlikuwa timu Ronaldo ila kwa mabalaa anayofanya huyu mtoto Messi me nimehama ila usiwaambie wana” nlicheka vibaya mno, Messi sio mchezo anaesema Messi ni kawaida we muulize tu nan kaupiga mwingi kuliko messi alafu mwende kwenye data sasa, manake mpira sio maneno mdomoni mpira ni numbers
Huyo rafiki yako ni mfano wa watanzania wengi wajinga, ambao wanaishia kupata msongo wa mawazo kwa sababu wanaamini katika utimu tu kwa kila jambo.

Timu diamond, kiba, harmonize
Timu nandy vs zuchu vs ruby
Timu samia vs magu vs lowassa vs lissu
Timu ccm vs chadema
Timu wasafi vs konde gang
Timu simba vs yanga (hapa ndo headquarters ya mazombie)
Timu Israel vs Palestina,
Timu Russia vs Ukraine
Timu USA & co vs Russia
Timu USA vs China, North Korea, Iran, etc
Timu Messi vs CR7

Uislam vs ukristo (hasa humu jf)
Arusha vs Mwanza, Dar vs Nairobi, kahama sijui na njombe

Na kuendelea

Watz wengi hawana neutrality. Kila jambo ni kulichagulia utimu, matokeo yake ni kuteseka kama huyo mwamba alivyoteseka hadi kuamua kukuvunjia ukimya.

Neutrality ni chanzo cha amani na furaha ya kweli, unaenjoy to the maximum bila mipaka wala unafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii dunia Haijawah kuwa na mchezaji kama Messi, lile jini, mwaka jana Pep aliulizwa kuhusu kumfananisha eti Halland na Messi, pep akasema kwenye career yake yakufundisha mpira hajawah kumfundisha mchezaji talented kama Messi, akamwambia halland boli unapiga mwanangu ila wanaokufananisha na Messi wanakudanganya..
Kujaribu kumfananisha Messi na Haaland asiyeweza hata kupiga chenga moja si tu ni kumdhalilisha Messi, bali ni kulidhalilisha soka lenyewe.

Haaland hawezi kuibeba timu kama ambavyo LM10 na CR7 wamekuwa wakifanya for years, yeye akikosa viungo wazuri wa kumlisha apige shuti golini Haaland anaweza kuchemka sana.

Ndo maana siku moja kakosolewa kwa kugusa mpira mara chache kwenye game akasema haijalishi anagusa mpira mara ngapi yeye kazi yake ni kutikisa nyavu, ndicho anachokizingatia na kikitimia yeye kamaliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2022 world cup messi alikuwa alien hakuwa binadamu wa kawaida, alikuwa na kiwango cha juu sana, kuanzia kiufundi mpaka kimatokeo, ulikuwa ni mwaka wake wa kubeba maana uwezo na bahati vyote vilikuwa upande wake, alinishangaza jinsi alivyokuwa anakiwasha kwa umri ule, ni GOAT kwa kweli
Mwamba alikuwa hatari sana. Very very very talented!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unautimamu wa akili kusema mesi na cr7 nani zaidi ni matumizi mabaya ya akili.
Mesi ni kipaji kilichoshushwa duniani, cr7 ni juhudi binafsi kama wakina halaand
Mtake radhi CR7, huwezi kumfananisha na Haaland.

Namkubali sana Haaland ni striker la kwenda, ila afananishwe na akina Benzema, Kane, Lewandowski, nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom