BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itachukua miaka mingi sana kumpata kiumbe kama huyu kwenye soka.
CR7 anaujua mpira, Lakini Mpira wenyewe unamjua, unamheshimu na unamtii LMBinadamu pekee Duniani ambae amesifiwa kihalali na Binadamu wenzie akiwa Hai.Ninajivunia sana kushudia soka la LM na CR7 kwenye maisha yangu....Sikuwahi kuamua kua ni nani Bora!
CR7 anaujua mpira ila tatizo amekuja kipindi cha MessiCR7 anaujua mpira, Lakini Mpira wenyewe unamjua LM
Sijawahi kushuhudia binadamu bora wa kandanda duniani zaidi ya Ronaldinho, dunia inakuhusudu sana mzee Gaucho.
Vita ya nani bora....CR 7 0r La pulga
Hapa hatuangalii jina la mtu,Sijawahi kushuhudia binadamu bora wa kandanda duniani zaidi ya Ronaldinho, dunia inakuhusudu sana mzee Gaucho.
Mimi nawakubali wote....kwa sababu...wana passion na wanachokifanya...hawajalewa sifa za mafanikio yao...bado wana pambania timu wanazozichezea kwa bidii kubwa as if ndo wamepata namba jana...For me, LM10
Weupe waliomfanyia programs za kumpata wakiamua wanaweza, kwani hujui kuwa alichomwa sindano za kuongeza urefu wa kimo, je hizo sindano zilihakikiwa na nani kama hazikuwa na vinasaba vyovyote vya dawa za kuongeza nguvu mwilini mbali na kipaji tu?Itachukua miaka mingi sana kumpata kiumbe kama huyu kwenye soka.
Tupo wengi sana kwa hicho kifaa, achana na akina Andunje wanaojifariji hawa, Ronaldinho alikuwa zaidi ya akina Messi na Ronaldo katika kuonesha ladha ya soka ilivyo na inavyopaswa kuwa.Sijawahi kushuhudia binadamu bora wa kandanda duniani zaidi ya Ronaldinho, dunia inakuhusudu sana mzee Gaucho.
Alijisemea Obi mikel kwamba wakati tunaenda kucheza na Madrid maelekezo ya kumkaba Ronaldo alikuwa anapewa Ashley lakin tulipokuwa tunaenda kucheza na Barcelona siku nzima timu nzima tulikuwa tunatrain namna ya kumzuia LA PULGA, simply the best hatari sanaaaaaLa PULGA
Balloon d'o ni biashara zao tu hao Weupe mbali na hapo mpira huchezwa dhahiri uwanjani na kila Mtu huona, ndiyomaana tuzo hii ya 2023 na 2021 Messi alikiri hakustahili zaidi ya Lewandowski na Haaland.Anzisha mada yako, kumfananisha gaucho na mwenye mpira wake, na ballon d ore 8 ni kumvunjia heshima
Kwahiyo unataka kusema Gaucho ni zaidi ya Zidane?
Hakuna kombe ambalo alishiriki ambalo hajawah kuchukua kachukua makombe yote alowah kushiriki hadi world cup ya watoto jamaa ni hatari sanaItachukua miaka mingi sana kumpata kiumbe kama huyu kwenye soka.