Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubingwa wa mchongo, forgery za kutoshaaKimeumana huko,ubingwa wenye kero kilakukicha.
Nabi ni kocha bora kuwahi kutokea Tanzania. Yanga tuweke ushabiki pembeni tuvunje kabati abaki tuendelee kupata raha ya makombe na kuipasua Simba!
Na kawabonda sana mnatamani aondokeBila yeye ile mechi na coastal vinyesi vingekuwa kwenye chupi,ile sub ya kumtoa mwamnyeto na hakuna aliyemuelewa mpaka yule dogo alipofunga goli,tukubali tu huyu kocha ni wa viwango haeezi kukaa nchi yenye figisu na viwanja vibovu
Hata Kindoki anatosha au tumpe Mirambo?Kwa usajili huu wa Yanga hata ikifundishwa na Mandonga inachukua ubingwa
Sawa ndugu walesi KaaliaBila yeye ile mechi na coastal vinyesi vingekuwa kwenye chupi,ile sub ya kumtoa mwamnyeto na hakuna aliyemuelewa mpaka yule dogo alipofunga goli,tukubali tu huyu kocha ni wa viwango haeezi kukaa nchi yenye figisu na viwanja vibovu
Sema huko utopolo. Usijumlishe tz yote kwa maana kuba makocha wamezipeleka timu kimataifa ila yeye hakuba kitu kafanya kimataifaNabi ni kocha bora kuwahi kutokea Tanzania. Yanga tuweke ushabiki pembeni tuvunje kabati abaki tuendelee kupata raha ya makombe na kuipasua Simba!
Kishingo yuko Abha fc Saudi ArabiaKumbe kishingo Sven alishafukuzwa FAR Rabat??
hivi nabi kwao ni Tunisia au moroco?Kocha mkuu wa mabingwa watetezi wa NBC premier league inaelezwa kuwa mkataba wake umekwisha. Habari zinasema kuwa, Nabi amegoma kusaini mkataba mpya na mabingwa hao wa NBC kwani amepata mkataba mnono nchini kwao Morocco.
View attachment 2313091
Akishinda simba sio bahasha akifunga yanga ni bahasha dahKocha Bora au bahasha za kaki za injinia ndo zimesaidia.
Hamna kocha humo
Labda mliibe kombe msimu huuVipi Mayele alishaenda huko Kaiza Chiefs?? Makolo wanahofu sana na Yanga!! Hata Kocha akiwa Mbuna ubingwa tunachukua![emoji16]
Kama tulivyo liiba msimu uliopitaLabda mliibe kombe msimu huu
Tetesi, maana yake Ni 50, 50, lolote laweza tokea kuamsha au kubakHivi siku akisaini hizo sura mtaziweka wapi?
Hawa hua wanawashwa kama malayaHivi siku akisaini hizo sura mtaziweka wapi?
Ashafika morrocco sio?Kocha mkuu wa mabingwa watetezi wa NBC premier league inaelezwa kuwa mkataba wake umekwisha. Habari zinasema kuwa, Nabi amegoma kusaini mkataba mpya na mabingwa hao wa NBC kwani amepata mkataba mnono nchini kwao Morocco.
View attachment 2313091