Mikia wako busy sana na suala la Zahera.
Ubovu wa Zahera presumably ni faida kwa 5imba na bila shaka wangeomba sana aendelee kuwepo ili wanufaike. Sasa ajabu eti Mikia wanataka Zahera ang'oke. Ili iweje? Arusi Hans Pluijm na kampa tena?
Sasa ni rasmi zahera out
Huyu mliyempatia timu ya Taiga alikuwa na mafanikio gani huko alikopita?Hapa wame kurupuka, Ben mwalala Ana mafanikio gani makubwa. Sijui ngoja tuone yanga ikiwa bingwa wa acl. Timu zote za East Africa zimetoka hivyo nilitegemea tupate kocha labda nje ya hapo.
Huyu mliyempatia timu ya Taiga alikuwa na mafanikio gani huko alikopita?
Hajaachia ngazi bali katimuliwaHabari za hivi punde zinasema Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera ameachia ngazi Yanga baada ya timu kupoteza uelekeo.
Wenzio wanataka aondoke. Sasa kaondokaUmesoma ulichoandika hapo? Mbona unajichanganya..Kwangu nilitaka abaki ili ashuhudie ubigwa wa back to back ikiendelea..!NguvuMoja