Kocha Mwinyi Zahera aachia ngazi Yanga. Mkwasa kuinoa kwa muda

Kocha Mwinyi Zahera aachia ngazi Yanga. Mkwasa kuinoa kwa muda

Una maana gani kusema mabingwa wa kihistoria wasio na kombe lolote? Tuanzie hapa kwanza.
 
Hahaha hahahahahahahahaha iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!! Hahahahaha aiseeee hahaha uwiiiiiiii hahahahahahahahaha gongowazi mnatuvunja mbavu. Sasa mnamfukuza mdhamin wenu tena, iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hahahahahahahahaha hahahahahahahahaha jaman......molinga mtaweza kumlisha kwer kilo 32.6 per day huo ni ubweche achana na nyama kilo 54.1....Zahera ndo alikuwa na uwezo wa kumtunza jamaa...TANO-MOYA!!!!!!!!!!!!!!

ILA NYIE PYRAMID MUNGU ANAWAONA...MNAFANYA HADI MDHAMINI/MUWEKEZAJI WA HOHO FC ATIMULIWE KWERI!!!!!!! hahahahaha hahahahahahahahaha
Kalye erimpa
 
Yanga imevunja mkataba na kocha wake Mwinyi Zahera pamoja na benchi zima la ufundi sambamba na kuvunja kamati ya mashindano.

Zahera ametimuliwa na klabu hiyo wakati mwenyewe ameendelea na kazi yake kama kawaida.

Zahera leo asubuhi amefika mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi Kurasini na kuendelea na majukumu yake wakati timu yake ikijiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Ndanda ya Mtwara.
****

Mwenyekiti wa Yanga, Mshindo Msolla amemtangaza Charles Boniface Mkwassa kuwa kocha wa muda wa Yanga akichukua nafasi ya Mwinyi Zahera kwa muda wa wiki mbili
Acha upopoma weeee
 
Sio kweli na viongozi wengi wa yanga wameanza kuamini kuwa mfumo wa yanga kiuendeshaji ndio tatizo, na mpaka sasa wanaona ni bora waingie katika mfumi wa hisa kama simba.
Sijui siku wakiingia katika mfumo wa hisa ndugu yangu Shadeeya utajisikiaje maana sio kwa maneno yale kutoka kwa wananchi kwamba yanga ni ya wananchi haiwezi kumilikiwa na kikundi cha watu.
Simba inamilikiwa na Mo Dewji ,hakuna mwanachama hata mmoja mwenye hisa
 
Zahera kuropoka ropoka kulizidi, alikuwa anajiona mkubwa kupita klabu, bora aondoke zake
 
Furahi tu ila mjue amewafanyia mengi kwa pesa zake... Jiandaeni kwa kesi za madai.. Lazima awatie umaskini
 
mwinyi zahera sio wa kubeza hata kidogo, Amekua akipambana na kipingi kigum cha mapito jangwani.
Amefanya kazi kwa mazingira magum kiuchumi, ebu fikiria ukiwa kama mwalm halafu unafundisha wachezaji wenye takribani miezi 4 bila stahiki zao.
Amefanya kazi kubwa ndani ya yangu,amekua chachu ya mafanikio clabuni,nenda papa kapambane na changamoto sehem zingine.

Bundi katua mto jangwani..zahera bado yupo kajaa tele...
 
Bwege sana huyo atuachie timu yetu , imekuwa inaboronga kila siku zinavyozidi kwenda , usajili mkubwa lakini poor performance uwanjani
Tatizo la yanga ni ziadi ya kocha mwinyi zahera!! Ondoeni kwanza msuguano uliomo ndani ya timu kati ya team ndama, na team gsm!! Kwani ktk mechi za ligi mkoje, kufungwa na pyramid ndio chanzo? Bila kujua tatizo ni vigumu kuli solve, zahera tatizo lake amekuwa mkweli hadi anauzi!!!! Ni suala la muda tu
 
Mimi siyo shabiki wa Yanga lakini kitendo cha Zahera kumsajili Molinga kilitosha kabisa kumuondoa kazini.
Kocha unamsajili mchezaji mbovu kama Kindoki, unamwondoa unaingiza Garasa Molinga?
 
Hivi huyu zahera hawadai yanga kweli??
Maana kuna kipindi nilisikia wanamsifia kuwa anatoa hadi pesa zake kuisapoti yanga.
simba waliwahi kuwa na koha mchezaji aliitwa Hassan Hafif ila yanga wameWwafunika na Kocha mfadhili siyo?
 
FB_IMG_1572949566450.jpg
 
Kweli fadhila mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi wanadamu anamaudhi ,jamani huyu Zahera kawapa posho wachezaji ,amekaa nao kwa wakati mgumu ,wakati huu wamemtimua
 
Back
Top Bottom