Kocha Mwinyi Zahera aachia ngazi Yanga. Mkwasa kuinoa kwa muda

Kocha Mwinyi Zahera aachia ngazi Yanga. Mkwasa kuinoa kwa muda

Yanga mmekwisha. Mna fweza za kumlipa Zaa hera? Simba nderemo Yanga makelele ya vilio. Mtalijua jiji safari hii enyi yeboyebo....
 
Aliposema hamna mchezaji wa Yanga anayeweza kupata namba Pyramid wakati bado wana mechi ya marudiano,nikagundua hamna Kocha bali msimamizi wa mazoezi
Inawezekana alikuwa sahihi ila hapo ndio aliua morali ya timu rasmi.
 
Kweli fadhila mfadhili mbuzi huyo Zahera alibembeleza wachezaji akawapa na posho wasigome mmemtimua laana yake itawatafuna sana
 
Inawezekana alikuwa sahihi ila hapo ndio aliua morali ya timu rasmi.
Hakuwa sahihi hata kidogo ....alitakiwa kujenga morali ya ushindi ktk timu...hata kama anajua ni ngumu kushinda ile mechi.....ujuaji ulimzidi...alitaka kunawa mikono wakati michezaji mibovu aliileta yeye jangwani....
 
Hakuwa sahihi hata kidogo ....alitakiwa kujenga morali ya ushindi ktk timu...hata kama anajua ni ngumu kushinda ile mechi.....ujuaji ulimzidi...alitaka kunawa mikono wakati michezaji mibovu aliileta yeye jangwani....
Kwahiyo Molinga anaweza anza first eleven ya Pyramids? Sifikiri kama tumeelewana mkuu.
 
Kwahiyo Molinga anaweza anza first eleven ya Pyramids? Sifikiri kama tumeelewana mkuu.
Nazani tunapishana ktk kuelewa....Yanga ni timu kubwa....ukisajili mchezaji ili aje acheze Yanga,,, huyo mchezaji anapaswa kutambua thamani ya kucheza Yanga... Vinginevyo Zahera alikuwa anadhani Yanga ni sawa na Ndanda...imekula kwake na wachezaji wake mizigo watafuata....
 
Bibiye tukumbuke fadhila,mapungufu yake anapenda kubwabwaja Sana,je kweli viongozi wetu wamefsnya maamuzi SaHihI kwa kuvunja mikataba na Zahera?
Ukisema tukumbuke fadhila mwishowe tutashuka daraja Mkuu. Ikiwa viongozi wameona alipofika panatosha hamna jinsi tena zaidi ya kuganga yajayo.

Sifa kuu ya kuwa kocha unajua siku ya kusinya tu ila baada ya hapo kibarua kinaweza kuota nyasi saa yoyote.
 
Tena alivyouleta jana asubuhi ulikuwa tetesi yaani hata kabla haijathibitishwa tayari mikia habari wanazo.

Baadae mods ndio wakaedit huo uzi. Ila ndio tujue wanatufuatilia sana aisee.
Lazima mfuatiliwe hatua kwa katua
Kweli nimeamini shukran ya mapunda ni mateke.

Maskinni akipata siku zote inakuwa tabu sana.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Zahera msimu uliopita alitubeba sana timu ikiwa kwenye Hali mbaya Sana kiuchumi,Leo tumekuwa wepesi wa kusahau Yale mazuria aliyetufanyia,AmA kWeRi ShUkRaNi yA PunDa ni MaTeKe.
Wacha kumtetea Mkuu sababu kikosi cha mwaka huu ambacho alichagua yeye wachezaji anaowataka ndio kimekuwa kibovu zaidi kuliko kile cha msimu uliopita.

Mwanzoni tulisema wachezaji hawajazoweana mpaka sasa ni zaidi ya miezi mitatu bado mambo ni yale yale yaani hamna cha mana cha zaidi ukiwa unaangalia mechi unaombea dkk ziishe tu.

Aende tu sababu Yanga sio ya jana wala juzi na kama makocha wamepita wengi tu.

Tunachohitaji ni furaha na sio kusubiria wee mwisho wa siku tunashika mkia.
 
Inawezekana alikuwa sahihi ila hapo ndio aliua morali ya timu rasmi.
Exactly!Hata kama alikua sahihi,haukua muda muafaka kusema hayo na hakua mtu sahihi kuyasema l!Anadhan wachezaji hata siku nyingine akiwasifia si wataona hamaanishi
 
Mtani sijakuelewa hapa. Hebu tumia lugha nyepesi.
Hahahaaa mshambuliaji wa zamani wa simba usiku wa Jana kafunga goli uwanja wa an field, kawafunga mabingwa wa ulaya na vinara wa ligi kuu ya uingireza.

Jana alimchambua beki bora wa dunia kwa sasa Virgil kama sambusa
 
Back
Top Bottom