Kocha Mwinyi Zahera aachia ngazi Yanga. Mkwasa kuinoa kwa muda

Kocha Mwinyi Zahera aachia ngazi Yanga. Mkwasa kuinoa kwa muda

Mimi siyo shabiki wa Yanga.
Yanga walichofanya kitaighirimu timu zaidi kwa kipindi hiki, yaani unatimua benchi la ufundi na muda huo huo wachezaji wakiwa wamebaki wale wale[emoji848]

Kwa sasa kikosi chao hata aje Gariola kitamchanganya kupanga vile vile, hii ni sababu wachezaji waliopo kwenye timu wote ni wa aina moja.

Kilichotakiwa ni kuvumilia mpaka dirisha dogo wapate strikers hata wawili, vinginevyo kamati tendaji ijiandaae lawama kwa matokeo yajayo.

Poleni
 
Ahueni. Tunamshukuru kwa mema yote aliyotutendea. Pia viongozi waendelee na kwa wachezaji wote wa kawaida na wasiojituma, nao wapewe mkono wa kwaheri kwenye usajili wa dirisha dogo. Hakuna namna.

Kamati ya usajili ya akina Abdallah Bin Kleb, Seif Magari na wengineo irejeshwe mara moja! maana walifanya scouting nzuri sana enzi za uongozi wao.
Kibubu hakisomi labda mchukue wa mkopo.
 
Kweli kabisa umeongea vema lakini mi nihoji kidogo hivi kweli tatizo la yanga ni kocha kabisa?mi nadhani hapana tatizo nadhni bado safu nzuri ya uongozi kwa haijapatikana
Umenena mkuu issue sio kocha hata aje mzee wenga kwa management hii ya Yanga na wachezaji wale hawawezi toboa hata nafasi ya tatu ligi kuu.
 
Mimi siyo shabiki wa Yanga.
Yanga walichofanya kitaighirimu timu zaidi kwa kipindi hiki, yaani unatimua benchi la ufundi na muda huo huo wachezaji wakiwa wamebaki wale wale[emoji848]

Kwa sasa kikosi chao hata aje Gariola kitamchanganya kupanga vile vile, hii ni sababu wachezaji waliopo kwenye timu wote ni wa aina moja.

Kilichotakiwa ni kuvumilia mpaka dirisha dogo wapate strikers hata wawili, vinginevyo kamati tendaji ijiandaae lawama kwa matokeo yajayo.

Poleni
Hizo habari waachie wana Yanga. They know what they are doing fella.
 
Hatimae Mabingwa wa kihistoria wasio na Kombe lolote huenda wakaingia kwenye mgogoro mkubwa wa malipo kwa Kocha wao Mwinyi Zahera endapo watamfukuza bila kumlipa Mafao yake kwa wakati.Yanga kama tujuavyo bado kiuchumi haiko vizuri hivyo ni vema ilajiandaa kimalipo kabla ya kumfukuza Kocha wao Zahera.
Anazo Mo
 
Papaa zahera jamani kwahiyo ameshafukuzwa
 
Mimi siyo shabiki wa Yanga.
Yanga walichofanya kitaighirimu timu zaidi kwa kipindi hiki, yaani unatimua benchi la ufundi na muda huo huo wachezaji wakiwa wamebaki wale wale[emoji848]

Kwa sasa kikosi chao hata aje Gariola kitamchanganya kupanga vile vile, hii ni sababu wachezaji waliopo kwenye timu wote ni wa aina moja.

Kilichotakiwa ni kuvumilia mpaka dirisha dogo wapate strikers hata wawili, vinginevyo kamati tendaji ijiandaae lawama kwa matokeo yajayo.

Poleni
Tuajua tunachokifanya tuache tu na timu yetu
 
Nyie wanyama wakali wa mwituni,tuachieni Yanga yetu Mkwasa atalibeba jahazi na atalifikisha salaam.
 
Ni maamuzi sahihi kwa wakati sahihi, Zahera hakua na mbinu tena
 
Mimi pia nawadai Yanga ,Zahera aliniahidi Molinga akishindwa kufunga goli Chini ya kumi na tano kwenye VPL,atanipa dollar 1000/ Mshindo Msolla na Mwakalibela mjiandae kunilipa mwisho wa msimu huu.
 
Kuwafadhili kote kule? Zahera watamkie laana kama alivyofanya kocha wa Benfica kipindi icho Hadi Leo Benfica wanateseka kwenye mashindano makubwa ya ulaya
 
usajili mkubwa upi? alituaminisha mwaka jana kuwa hakupewa fursa ya kusajili wachezaji anaowataka sasa mwaka huu kapewa nafasi hiyo katuletea makarasha yasiyoeleweka kajaza kwenye timu mara, morogoro sijui, mara bausa mbeba mizigo huko kongo malinga na wengine kibao. Timu haina key player hata mmoja wa garama na mwenye kiwango cha ambaye uwepo wake uwanjani unasababisha hamasa kwa wachezaji wengine? oneni wenzenu mikia, mchezaji mmoja tuu MARIA MAGERE ana uwezo wa kuichochea timu nzima ifanye vizuri na akipata akipata nafasi ya kufunga kama anacheza na maboya kila wakati anafumania nyavu, sasa hii ya zahera mashabiki tumehamasika kuichangia timu, tumenunua jezi za gharama na kila tukienda uwanjani tunapigwa au tunafunga kagoli kamoja kwa mbinde? aondoke tuu na machezaji yake , aondoke tu na shishimbi wake anakuwa na harakati kama za pimbi zisizo na mafanikio, zahera amemtelekeza mchezaji wetu pendwa kampa kampa tena kamusoko akawa hampangi mpaka amechukuliwa na zesco na hatimae kuja kutudhalilisha hapa nyumbani? aondoke bwana aende zake
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Zahera msimu uliopita alitubeba sana timu ikiwa kwenye Hali mbaya Sana kiuchumi,Leo tumekuwa wepesi wa kusahau Yale mazuria aliyetufanyia,AmA kWeRi ShUkRaNi yA PunDa ni MaTeKe.
 
Uko sahihi...ni kocha mjinga kuwahi kutokea Yanga alidhani ana akili sana kuliko Yanga, viongozi na mashabiki kwa ujumla.

Wacha akwende zake.Yanga imekuwa butua butua chini yake
 
Aliposema hamna mchezaji wa Yanga anayeweza kupata namba Pyramid wakati bado wana mechi ya marudiano,nikagundua hamna Kocha bali msimamizi wa mazoezi
 
Back
Top Bottom