usajili mkubwa upi? alituaminisha mwaka jana kuwa hakupewa fursa ya kusajili wachezaji anaowataka sasa mwaka huu kapewa nafasi hiyo katuletea makarasha yasiyoeleweka kajaza kwenye timu mara, morogoro sijui, mara bausa mbeba mizigo huko kongo malinga na wengine kibao. Timu haina key player hata mmoja wa garama na mwenye kiwango cha ambaye uwepo wake uwanjani unasababisha hamasa kwa wachezaji wengine? oneni wenzenu mikia, mchezaji mmoja tuu MARIA MAGERE ana uwezo wa kuichochea timu nzima ifanye vizuri na akipata akipata nafasi ya kufunga kama anacheza na maboya kila wakati anafumania nyavu, sasa hii ya zahera mashabiki tumehamasika kuichangia timu, tumenunua jezi za gharama na kila tukienda uwanjani tunapigwa au tunafunga kagoli kamoja kwa mbinde? aondoke tuu na machezaji yake , aondoke tu na shishimbi wake anakuwa na harakati kama za pimbi zisizo na mafanikio, zahera amemtelekeza mchezaji wetu pendwa kampa kampa tena kamusoko akawa hampangi mpaka amechukuliwa na zesco na hatimae kuja kutudhalilisha hapa nyumbani? aondoke bwana aende zake