Kocha Nabi leo umepoteza point 3 muhimu kutokana na selection ya wachezaji kipindi cha kwanza

Kocha Nabi leo umepoteza point 3 muhimu kutokana na selection ya wachezaji kipindi cha kwanza

Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara.

Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea.

Pia, defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho.

Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu.

Chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango.
Yote ya yote Yanga kapoteza points 2, sio 3 kama ulivyoandika.
 
Kikosi Cha kwanza Binafsi sikukikubali Ila labda ni tension ya michuano mikubwa ya CAF..

Yaan haikubidi kabisa tuwaruhusu hawa Makolo waongeeongee maana wao wako too frustrated,, Timu hawana, Head-coach hawana , Uongozi hawana na Zeran kawakimbia kaona hii Timu ni ya Wababaishaji.. sio maneno yangu lakini ni Maneno ya Yule jamaa kutoka pale Kolokoloni FC
Yanga mlibebwa kataa kubali
 
Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara.

Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea.

Pia, defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho.

Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu.

Chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango.
Shukurun uwezo wa refa na kibendera kujikausha
IMG_20220907_050211.jpg
 
mbona mashabiki wa simba wame chukia sana game ya yanga vs azam kuisha kwa sare.?,
 
Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara.

Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea.

Pia, defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho.

Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu.

Chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango.
Upo sahihi sanaa!YANGA kwa mpira wa jana hatutatoboa kimataifa na tunaeza kufungwa hata na wasudan tunaowaona wachovu!!Yanik Bangala arudishwe tu kucheza number sita na sio beki!uzito wa bigirimana na Aucho unasababisha beki ya yanga kushambuliwa sanaa!mzee wa kazi chafu arudi kucheza number sita
 
Uwezo wa yanga kuondoka na point zote 3 leo walikuwa nao isipokuwa kocha Nabi alipotea maboya kwenye selection ya wachezaji walioanza mechi hii, tunajua gael bigirimana na kharid aucho ni wazito na awana kasi kutokana na umri kitendo kilichowafanya azam kutawala katikati na kulisogelea lango la yanga kwa haraka na mara kwa mara.

Azam walikuwa na wachezaji wenye kasi kubwa kama Tape edinho, kipre junior na prince dube, bigirimana namba 6 haiwezi kucheza bila ya kuwa na msaidizi mwenye kasi ya kuzuia pale anapopitwa, kipindi cha pili aliliona hilo na timu ikawa inasogea.

Pia, defence line ya yanga inatakiwa ifanyiwe marekebisho inapoteana sana, Mechi hii ni ya pili yanga kucheza ovyo hasa eneo la ulinzi ya kwanza ilikuwa ya coast union kule Arusha kwenye kombe la shirikisho.

Nafikiri mechi hii itawaamsha ni kipimo kizuri sana, pia Morison ilikuwa aimalize hii mechi lakini kuna vitu vya kipuuzi anavifanya ambavyo vimeicost timu.

Chenga ambazo azina faida yoyote wakati uko ndani ya boxi na una uwezo wa kufunga ni tatizo jingine ambalo linatakiwa liangaliwe, yote kwa yote ilikuwa mechi dume yenye viwango.
Uko sahihi kabisa. La kuongezea ni kwa mlinda mlango wetu Fiarra. Ikiwezekana aoewe mapumziko ya lazima. Kiukweli amekuwa akifungwa magoli ya aina ile ile tangu mechi ya fainali na Coastal kule Arusha! Ha kushangaza akianza Mshery, huoni magoli ya kizembe.

Pia beki namba 3 Joyce Lomalisa, anatakiwa aongeze bidii! Jana alikiwa ni uchochoro! Ingawa kitaalamu, sababu kubwa ilikuwa ni kukosekana kwa kiungo mkabaji aina ya Yannick Bangala.

Aucho na Bigirimana jana walipuyanga sana pale kati. Ashukuriwe Fei Toto. Hakika alikuwa ndiye shujaa wa mchezo
 
Upo sahihi sanaa!YANGA kwa mpira wa jana hatutatoboa kimataifa na tunaeza kufungwa hata na wasudan tunaowaona wachovu!!Yanik Bangala arudishwe tu kucheza number sita na sio beki!uzito wa bigirimana na Aucho unasababisha beki ya yanga kushambuliwa sanaa!mzee wa kazi chafu arudi kucheza number sita
Tatizo ni benchi letu la ufundi! Mpaka kesho haliamini kama Mwamnyeto anaweza kuanzia nje, halafu pale nyuma wakacheza Bangala na Job! Labda ni kutokana na heshima yake ya unahodha.

Ila binafsi ningetamani Mwamnyeto na Diarra wapate mapumzkio ya kutosha, kwa manufaa ya timu.
 
Yanga ndiye aliyatakiwa kufungwa.kwasababu ata magoli aliyofunga Fei toto nikwasababu ya uzembe wawachezaji wa azam kumuachia acheze mwenyewe.Yanga walicheza vizuri mechi yote ila azam walicheza vizuri zaidi.Na kwa mechi ya jana inaonyesha azam ana kikosi kizuri ila konakosa muunganiko na kinachoka mapema.Kwahiyo yanga msidhani ilikua ni haki yenu kushinda wakati hata azam ni timu nzuri.
 
Achana na haya mambumbumbu huwa hayaelewi kitu na ndivyo yalivyo usiumize kichwa kuyajibu
Hivi kuna team ina mashabiki na viongozi mbumbu kushinda yanga
Team mashabiki wake wanaenda kuwapokea wageni airport inaonyesha hawana kazi za kufanya
Viongozi na benchi la ufundi wameshinda kujua idadi ya substitution na wamepigwa faini na TFF wanalalamika ndo maana hata luc aymel aliwaita manyani.
 
Vipi bila refa wa mchongo kuwabeba ungepata nguvu ya kuongea
Refa kachezesha mpira vizuri.sijaona kosa la refa labda kidogo ile faulo aliyochezewa dube ila nayo ilikua nyepesi kutoa penat kwasababu ilikua 50/50.
 
Hivi unapata wapi guts za kuongea pumba hizi! Kwa mpira gani mulio nao hasa. Leo Utopolo alikua amekufa, bila goli la kwanza la mchongo, mpira umetoka nje refa anapeta, Azam kanyimwa penalty ya bure kabisa.
Lakini huu mchongo haupo kwenye mechi za Kimataifa.
Inawezekana mpira ulitoka ila refa hakuona.ndo maana kuna washika vibendera.Hiyo penat nayo ilikua nyepesi sana ndo maana akaipeta.lazima tukumbuke refarii hawezi kuona makosa yote uwanjani kwa usahii ndo maana wenzetu ili kupunguza hiyo hali wakaweka usaidizi wa kamera(VAR).Sisi tunapata kiburi chakuongea makosa kwasababu tunaona marudio ya kamera.Ila kwajinsi nilivyoona refa alichezesha vizuri ndo maana pamoja na mechi kua na presha ila ilikua nzuri.
 
Back
Top Bottom