Kocha Nabi wa Yanga SC ni kama Kocha wa Simba SC naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF

Kocha Nabi wa Yanga SC ni kama Kocha wa Simba SC naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Taarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.

Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.

Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.

Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.

============

Updates;

Kocha Mkuu Juma Mgunda amekuwa Approved na CAF hivyo atakuwa kwenye benchi la Simba SC kama Kocha Mkuu katika mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Naye Kocha wa Yanga SC Nasreddine Mohamed Nabi amezuliwa na CAF kukaa kwenye benchi la Yanga kwa kukosa vigezo hivyo Cedric Kaze ataongoza benchi la Yanga kwa mchezo dhidi ya Zalan FC.
 
Taarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.

Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.

Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.

Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.
Muhimu vyeti anavyo hayo mengine hayana tatizo.

Ila Simba tumezingua sana, muhimu tutafute kocha mzuri mapema kabisa kabla mashindano hayajakolea.
 
wanasemaga usitukane mamba wakati ujavuka mto Congo.
alafu ukitaka kujua kama Duniani nuksi huwa ipo,wakati wa kuaprove za Mgunda zitakua aproved upesi na haraka alafu ikifikia zamu ya Nabi mtandao unakata unasema system error[emoji28][emoji23]
 
Muhimu vyeti anavyo hayo mengine hayana tatizo.

Ila Simba tumezingua sana, muhimu tutafute kocha mzuri mapema kabisa kabla mashindano hayajakolea.
Kwenye taarifa kwa umma wamesema utaratibu wa kumtafuta Kocha mpya unaendelea tatizo lipo wapi.

Na Kocha Zaron Maki ameondoka ghafla na Klabu wangefanya nini kwa siku hizi mbili ilhali kuna game tafu ya CAFCL? Je hata wangemleta Thomas Tuchel ingesaidia?
 
wanasemaga usitukane mamba wakati ujavuka mto Congo.
alafu ukitaka kujua kama Duniani nuksi huwa ipo,wakati wa kuaprove za Mgunda zitakua aproved upesi na haraka alafu ikifikia zamu ya Nabi mtandao unakata unasema system error[emoji28][emoji23]
Hapo Maji Wataita Mma, maana kitu kitaanza kugonga ile mbaya yaani.
 
Hii taarifa haiwezi kuwa na ukweli hata kidogo. Isipokuwa imeletwa tu humu ili kubalance story ya Juma Mgunda! Nothing more.

Kabla ya kuja Yanga, kocha Nabi ameshafundisha vilabu kadhaa vikubwa Afrika kama El Hilal ya Sudan, nk. Huko kote alikuwa anatumia leseni gani?
Hawa jamaa wanashangaza sana mkuu.. Yaani hata mwaka Jana Wakati tunapigwa na Rivers United prof Nabi ndio alikuwa kocha wetu na Mechi zote home and away alikuwepo.
 
Hii taarifa haiwezi kuwa na ukweli hata kidogo. Isipokuwa imeletwa tu humu ili kubalance story ya Juma Mgunda! Nothing more.

Kabla ya kuja Yanga, kocha Nabi ameshafundisha vilabu kadhaa vikubwa Afrika kama El Hilal ya Sudan, nk. Huko kote alikuwa anatumia leseni gani?
Usichokijua hapo ni kwamba kila mwaka utaratibu wa CAF ni kuingiza majina upya hawachukui ya zamani.

Nabi alikuwa Kocha wa Al Merreikh ya Sudan alipambana na Simba SC michuano ya CAF aliwezaje kukaa benchini?

Hujiulizi hilo?
 
Hawa jamaa wanashangaza sana mkuu.. Yaani hata mwaka Jana Wakati tunapigwa na Rivers United prof Nabi ndio alikuwa kocha wetu na Mechi zote home and away alikuwepo.
Utaratibu wa CAF ni kuingiza majina upya kila mwaka hata ukikaa miaka kumi.

Nabi alikuwa Kocha wa Al Merreikh na alishiriki michuano ya CAF

Hapo ni uongozi kuchelewa, sawa?
 
Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.
Tatizo Kuna Bifu kati ya UEFA na CAF. UEFA inawabania makocha wa Africa alioithinishwa na CAF kufundisha vilabu vya Ulaya, Sasa na CAF inafanya Kila linalowezekana kufanya mzani kukaa sawa! Sitashangaa!!
 
Tatizo Kuna Bifu kati ya UEFA na CAF. UEFA inawabania makocha wa Africa alioithinishwa na CAF kufundisha vilabu vya Ulaya, Sasa na CAF inafanya Kila linalowezekana kufanya mzani kukaa sawa! Sitashangaa!!
Yaani wewe ndo umeelewa vilivyo hawa wengine wanaropoka na bhah bhah kama zote..!

Gomez da Rosa si kwamba hakuwa na vyeti, ni katika mambo kama haya.
 
Mnachanganya vitu hapa Kuna vyeti au cheti na leseni hivi ni vitu viwili vyenye utofuti

Cheti ni taaluma inayomuwezesha mtu kupat leseni ya kazi

Yawezekana wote wanavyeti lkn wakawa hawana leseni la kuweza kufundisha daraja furani


Hapa mnapaswa kusema ni leseni au cheti
 
Back
Top Bottom