Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Huyu mtoa uzi nikisemaga ni mbovu kwenye ubongo anakasirika .
Leo mmeona wenyewe sasa
Leo mmeona wenyewe sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahivyo hapa hukumaanisha kuwa hana vyeti, isipokuwa ulikuwa unaleta kejeli dhidi ya Simba SC kuonekana kuwa klabu inajua kuwa hata vyeti ila wanafanya siri, na Nkoma amekwenda kukaa benchini.
Usizime data hapa..!View attachment 2352219
Huyu aliteta uzi wa Kibu D na Mayele, mara Azizi K ni mali ya SimbaHuyu mtoa uzi nikisemaga ni mbovu kwenye ubongo anakasirika .
Leo mmeona wenyewe sasa
Mchambuzi wa mchongoTaarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.
Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.
Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.
Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.
Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.
============
Updates;
Kocha Mkuu Juma Mgunda amekuwa Approved na CAF hivyo atakuwa kwenye benchi la Simba SC kama Kocha Mkuu katika mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.
Naye Kocha wa Yanga SC Nasreddine Mohamed Nabi amezuliwa na CAF kukaa kwenye benchi la Yanga kwa kukosa vigezo hivyo Cedric Kaze ataongoza benchi la Yanga kwa mchezo dhidi ya Zalan FC.
Binti Kazumari ndio reliable source ya jamaa zetuNabi katokea wapi tena mbona jemedari said alisema amezuiwa kukaa kwenye benchi? Au sio yeye ni kopi yake
Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa NkomaUmejisikiaje kumuona Nabii kwenye bench la Yanga?
Mlikuwa mnajitisha wenyewe.Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa Nkoma
Na nyie mmejisikiaje kumuona Kocha Mkuu Juma Mgunda akiongoza Jahazi?
Tumewaonyesha kuwa tuna uwezo kuwajamba na kudhihirisha kuwa kwa propaganda za kucheza na mitandao tunaweza sana yaani.
Nyie wakina nani?Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa Nkoma
Na nyie mmejisikiaje kumuona Kocha Mkuu Juma Mgunda akiongoza Jahazi?
Tumewaonyesha kuwa tuna uwezo mkubwa wa propaganda za kucheza na mitandao kuliko nyie yaani.
Sisi au mwanaspoti ndio walianzisha huo uvumi?Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa Nkoma
Na nyie mmejisikiaje kumuona Kocha Mkuu Juma Mgunda akiongoza Jahazi?
Tumewaonyesha kuwa tuna uwezo mkubwa wa propaganda za kucheza na mitandao kuliko nyie yaani.
Kwamba Simba ijitishe ili iweje yani kwa mfanoMlikuwa mnajitisha wenyewe.
Mbumbumbu next level ficha ujinga wakoMkuu hakuna mashabiki vilaza kama wa yanga yaani wanabeba kila kitu anachoanzisha yule nguruwe pori hawachuji wala hawafikirii wanabeba kama lilivyo.
Kwakua nyie mlikosea mkazani wote tumekosea.Kwamba Simba ijitishe ili iweje yani kwa mfano