Kocha Nabi wa Yanga SC ni kama Kocha wa Simba SC naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF

Kocha Nabi wa Yanga SC ni kama Kocha wa Simba SC naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF

Nabi hana vyeti
IMG-20220909-WA0018.jpg
 
Taarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.

Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.

Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.

Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.

============

Updates;

Kocha Mkuu Juma Mgunda amekuwa Approved na CAF hivyo atakuwa kwenye benchi la Simba SC kama Kocha Mkuu katika mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Naye Kocha wa Yanga SC Nasreddine Mohamed Nabi amezuliwa na CAF kukaa kwenye benchi la Yanga kwa kukosa vigezo hivyo Cedric Kaze ataongoza benchi la Yanga kwa mchezo dhidi ya Zalan FC.
Mchambuzi wa mchongo

Mbona Nabi kaanza kwenye benchi
 
Umejisikiaje kumuona Nabii kwenye bench la Yanga?
Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa Nkoma

Na nyie mmejisikiaje kumuona Kocha Mkuu Juma Mgunda akiongoza Jahazi?

Tumewaonyesha kuwa tuna uwezo mkubwa wa propaganda za kucheza na mitandao kuliko nyie yaani.
 
Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa Nkoma

Na nyie mmejisikiaje kumuona Kocha Mkuu Juma Mgunda akiongoza Jahazi?

Tumewaonyesha kuwa tuna uwezo kuwajamba na kudhihirisha kuwa kwa propaganda za kucheza na mitandao tunaweza sana yaani.
Mlikuwa mnajitisha wenyewe.
 
Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa Nkoma

Na nyie mmejisikiaje kumuona Kocha Mkuu Juma Mgunda akiongoza Jahazi?

Tumewaonyesha kuwa tuna uwezo mkubwa wa propaganda za kucheza na mitandao kuliko nyie yaani.
Nyie wakina nani?
 
Nyie si ndo mlileta porojo zenu kuwa Juma Mgunda hana vyeti na kwenye benchi atakaa Nkoma

Na nyie mmejisikiaje kumuona Kocha Mkuu Juma Mgunda akiongoza Jahazi?

Tumewaonyesha kuwa tuna uwezo mkubwa wa propaganda za kucheza na mitandao kuliko nyie yaani.
Sisi au mwanaspoti ndio walianzisha huo uvumi?
 
Mkuu hakuna mashabiki vilaza kama wa yanga yaani wanabeba kila kitu anachoanzisha yule nguruwe pori hawachuji wala hawafikirii wanabeba kama lilivyo.
Mbumbumbu next level ficha ujinga wako
 
Back
Top Bottom