Kocha Nabi wa Yanga SC ni kama Kocha wa Simba SC naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF

Kocha Nabi wa Yanga SC ni kama Kocha wa Simba SC naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF

Umeandika pumba ambazo hata nguruwe au bata hawezi kula

Sasa makocha wamekamilika vipi wakati kocha mkuu ni vyeti fake.
Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine
 
Taarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.

Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.

Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.

Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.

============

Updates;

Kocha Mkuu Juma Mgunda amekuwa Approved na CAF hivyo atakuwa kwenye benchi la Simba SC kama Kocha Mkuu katika mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Naye Kocha wa Yanga SC Nasreddine Mohamed Nabi amezuliwa na CAF kukaa kwenye benchi la Yanga kwa kukosa vigezo hivyo Cedric Kaze ataongoza benchi la Yanga kwa mchezo dhidi ya Zalan FC.
Kwahiyo huo uprofesa wake ni upi ?
 
Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine

Ha ha ha kinyonge sana. Usitukane mkunga na uzazi ungalipo utopolo nyie.
 
Hawa jamaa wanashangaza sana mkuu.. Yaani hata mwaka Jana Wakati tunapigwa na Rivers United prof Nabi ndio alikuwa kocha wetu na Mechi zote home and away alikuwepo.
Ww kweli ni chura la Jangwani CAF walitoa mabadiliko kuhusu kocha anayetakiwa kukaa kwenye benchi wakati nyinyi mlishafurumushwa hatua ya awali na Rivers United nje ndani
 
Ww kweli ni chura la Jangwani CAF walitoa mabadiliko kuhusu kocha anayetakiwa kukaa kwenye benchi wakati nyinyi mlishafurumushwa hatua ya awali na Rivers United nje ndani
Taarifa ilitoka kabla hata Yanga haikucheza mchezo wake wa awali. Yanga amecheza mechi yake tarehe 12 mwezi wa 9 taarifa imetoka kabla na Yanga haikuguswa.
IMG_20220910_082618.jpg
IMG_20220910_082854.jpg
 
Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine
Umesahau hata Mwenyekiti wetu mstaafu Mshindo Msolla naye tunaweza tu kumpa hilo jukumu! Yaani kiufupi Yanga imejaa wataalamu wa mpira.

Huwezi kulinganisha na wenzetu! Kila siku wanaajiri makocha wasio na sifa.
 
Taarifa za uhakika zinasema kocha Nasreddine Mohamed Nabi, naye anasubiri ruhusa (Approval) ya CAF kumuwezesha kukaa kwenye benchi hapo kesho kwenye mchezo wa Champions League.

Nabi ambaye msimu uliopita alikaa benchi kwenye mechi 2 dhidi ya Rivers United ana vyeti vya UEFA 'A' na UEFA-Pro alizosomea Belgium, lakini taarifa zake zilichelewa kupelekwa CAF.

Habari zaidi zinasema taarifa zake (vyeti) zimewasilishwa CAF na wanasubiri Shirikisho hilo la Soka Barani Afrika, kuidhinisha tu ili akae kwenye benchi kesho.

Hali hii ni kama ambayo imemkuta Kocha Mkuu wa Simba SC Juma Mgunda, ambaye naye anasubiri idhini ya CAF ili naye akae kwenye benchi kesho Jijini Lilongwe kwenye mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Mgunda yeye alichelewa kuidhinishwa kwa kuwa yeye vyeti vyake vimechelewa kuwasilishwa kwa kuwa yeye ni kocha mpya.

============

Updates;

Kocha Mkuu Juma Mgunda amekuwa Approved na CAF hivyo atakuwa kwenye benchi la Simba SC kama Kocha Mkuu katika mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets.

Naye Kocha wa Yanga SC Nasreddine Mohamed Nabi amezuliwa na CAF kukaa kwenye benchi la Yanga kwa kukosa vigezo hivyo Cedric Kaze ataongoza benchi la Yanga kwa mchezo dhidi ya Zalan FC.
Yan kitumwe cheti cha kaze hadi awe aproval halafu cha nabi kichelewe kutumwa kama cha mgunda ambacho kilipatikana usiku usiku!mnajifariji makolo
 
Kumbe ni last season ndio kapata kashikashi sio? Haya je hiyo last season ambapo Gomes kapata hilo sekeseke la vyeti je Yanga hawakushiriki klabu bingwa? Kocha alikuwa nani? Je huyo kocha alikutwa na seke seke kama la Gomes katika msimu huo ambayo CAF walioanisha aina ya vyeti?
Sasa akutwe na kashi kashi yanga walifika wapi msimu uliopita kwenye Caf champions league kumbuka agizo lilitoka wakati mashindano ya Caf champions league yanaendelea kwa hyo hata hyo nabi angeendelea next stage wangemsugulisha benchi vile vile mbona swala dogo hilo ila utopolo hamna uelewa wa kuchanganua mambo.
 
Mechi mbili dhidi ya Rivers United msimu uliopita Nabi hakuwepo Yanga??
Aisee hakuna kazi ngumu jamii forum kama kuwaelewesha mashabiki wa utopolo ni vilaza kweli agizo lilitoka wakati Caf champions league inandelea ndo hata Gomez mechi za mwanzoni alikaa ila alikuja kuzuiliwa baadae baada ya agizo kutoka wakati huo utopolo mshatolewa baada ya kupigwa nje ndani sasa hilo agizo mngelitekeleza wapi wakati mshatolewa tayari.
 
Ww kweli ni chura la Jangwani CAF walitoa mabadiliko kuhusu kocha anayetakiwa kukaa kwenye benchi wakati nyinyi mlishafurumushwa hatua ya awali na Rivers United nje ndani
Mkuu hakuna mashabiki vilaza kama wa yanga yaani wanabeba kila kitu anachoanzisha yule nguruwe pori hawachuji wala hawafikirii wanabeba kama lilivyo.
 
Msikurupuke nyie yanga iko timamu shida ya majirani wamerawaliwa na mwanamke
IMG-20220910-WA0004.jpg
Screenshot_20220909-234541_Chrome.jpg
Screenshot_20220909-234451_Chrome.jpg
 
Ukipata post yangu moja inaongelea Hilo iweke hapa.
Kwahivyo hapa hukumaanisha kuwa hana vyeti, isipokuwa ulikuwa unaleta kejeli dhidi ya Simba SC kuonekana kuwa klabu inajua kuwa hata vyeti ila wanafanya siri, na Nkoma amekwenda kukaa benchini.

Usizime data hapa..!
Screenshot_20220910-091634~2.jpg
 
Sasa akutwe na kashi kashi yanga walifika wapi msimu uliopita kwenye Caf champions league kumbuka agizo lilitoka wakati mashindano ya Caf champions league yanaendelea kwa hyo hata hyo nabi angeendelea next stage wangemsugulisha benchi vile vile mbona swala dogo hilo ila utopolo hamna uelewa wa kuchanganua mambo.
Pitia post 110 usiwe mnakurupuka tu ovyo

Taarifa ya mabadiliko juu ya leseni ya makocha wanaotakiwa kuhusika katika michuano ya CAF interclub ilitolewa tarehe 10 mwezi wa 9. Kabla hata ya michuano kuanza. Yanga kacheza mechi yake ya kwanza dhidi ya rivers united baadae
IMG_20220910_082618.jpg
IMG_20220910_082854.jpg
 
Back
Top Bottom