Umeandika pumba ambazo hata nguruwe au bata hawezi kula
Sasa makocha wamekamilika vipi wakati kocha mkuu ni vyeti fake.
Sasa makocha wamekamilika vipi wakati kocha mkuu ni vyeti fake.
Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine