changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Kama kumbu kumbu zangu zipo sawa haya mambo ya CAF kuzingatia aina vyeti ilianza msimu uliopita ambapo Nabi alikuwepo na alisimama katika michezo yote miwili dhidi ya Rivers united. Sasa ujasiri wa kusema hana vyeti stahiki mnautoa wapi?Kwamba pro hana vyeti yaan bashte au kilaza na yale makelele yote ya uto au bas
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app