nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
alikuwa anatumia leseni ya udereva.Hii taarifa haiwezi kuwa na ukweli hata kidogo. Isipokuwa imeletwa tu humu ili kubalance story ya Juma Mgunda! Nothing more.
Kabla ya kuja Yanga, kocha Nabi ameshafundisha vilabu kadhaa vikubwa Afrika! Huko kote alikuwa anatumia leseni gani?