Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Kwani manara anasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dawa iwaingieKwani Kaze ni kocha wa timu gani?
Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine
Ingekuwa ni TFF ndio imetoa hilo tamko mngesema mnaonewaKwani Kaze ni kocha wa timu gani?
Imekamilikaje sasa wakati kocha Mkuu ndiyo huyo amekula ban?!Bahati nzuri yanga inao makocha waliokamilika, kuanzia kocha msaidizi, kocha wa makipa, na ikishindikana ata Edna lema wa timu ya wanawake anaweza kukaa kwenye benchi, kwaiyo kama Nabi atokuwepo jahazi anaongoza kaze awawezi kwenda kuazima kocha kama wengine
Yaani hao hao wachambuzi wakitoa taarifa ya ovyo kuhusu Simba mnawaita makanjanja ila wakitoa taarifa isiyo uthibitisho kuhusu Yanga mnashangilia mnaona ni wasema ukweli. Kocha wa Yanga msimu uliopita alikuwa na kigezo na alikuwa kwenye benchi halafu msimu huu mnaambiwa hana vigezo unashangilia kisa tu kasema mchambuzi na sio page ya CAFMambo yamekwenda songombingo upande wa Nabi
Atakaa Jukwaani kama Gomez da Rosa
Kwahio Nabi kipindi yupo Elmarekh alikua anatumia Leseni ya Mgunda?Ingekuwa ni TFF ndio imetoa hilo tamko mngesema mnaonewa
Haya nao CAF wamewala vichwa utasemaje?
Unajua maana ya benchi la ufundi au unatapika tuImekamilikaje sasa wakati kocha Mkuu ndiyo huyo amekula ban?!
Wewe kilaza hapa TFF wanahusika nini hua unavuta gundi?Ingekuwa ni TFF ndio imetoa hilo tamko mngesema mnaonewa
Haya nao CAF wamewala vichwa utasemaje?
Na wewe hujui kiswahili..kitu kinakuaje kamili wakati mmoja ametoka/ ametolewa.?!Unajua maana ya benchi la ufundi au unatapika tu
Tumeshajibu hili jambo huko mwanzo, au labda hamtaki tu kuelewa.Yaani hao hao wachambuzi wakitoa taarifa ya ovyo kuhusu Simba mnawaita makanjanja ila wakitoa taarifa isiyo uthibitisho kuhusu Yanga mnashangilia mnaona ni wasema ukweli. Kocha wa Yanga msimu uliopita alikuwa na kigezo na alikuwa kwenye benchi halafu msimu huu mnaambiwa hana vigezo unashangilia kisa tu kasema mchambuzi na sio page ya CAF
Kuingiza usajili ni swala jingine na kutokuwa na vigezo ni swala lingine tofauti. Mbona mnajishusha credit kwa mambo ya ovyo mno. Sasa wewe jemedari tuwaelewe kipi Nabi kakosa vigezo au anasubiri approval kutoka CAF? kama hana vigezo maanake hata msimu uliopita hakupaswa kuwepo benchini. Mfikie kutumia akili kuhojiTumeshajibu hili jambo huko mwanzo, au labda hamtaki tu kuelewa.
CAF wana utaratibu wa kuingiza usajili wa majina upya kwa kila mwaka hata kama umekaa miaka kumi au hata kama mwaka jana alikaa benchi kwenye mchezo dhidi ya Rivers United
Ni utaratibu tu, kama ambavyo Kocha Gomez da Rosa yalimkuta..!
Kiswahili Lugha yetu ila ni wachache wanaoielewa. Au pia nchi yetu kumbuka imekumbwa na udumavu mkali wa akili kwa watu wetu.Na wewe hujui kiswahili..kitu kinakuaje kamili wakati mmoja ametoka/ ametolewa.?!
Hilo swali ni kama unamuomba msamaha MgundaKwani hamjui sababu ya kuwepo Kaze?
We jamaa mbona unakuwa kama mtoto ambae hawezi kuchambua mambo kwa umakini?Kuingiza usajili ni swala jingine na kutokuwa na vigezo ni swala lingine tofauti. Mbona mnajishusha credit kwa mambo ya ovyo mno. Sasa wewe jemedari tuwaelewe kipi Nabi kakosa vigezo au anasubiri approval kutoka CAF? kama hana vigezo maanake hata msimu uliopita hakupaswa kuwepo benchini. Mfikie kutumia akili kuhoji