mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Mkuu source ya taarifa yako??? Au umemkopi bin kazumari??? Toa credit kwake basiUtaratibu wa CAF ni kuingiza majina upya kila mwaka hata ukikaa miaka kumi.
Nabi alikuwa Kocha wa Al Merreikh na alishiriki michuano ya CAF
Hapo ni uongozi kuchelewa, sawa?