Kocha wa Simba, Didier Gomes inawezekana kutokuwa sehemu ya benchi la Ufundi katika mechi za CAF

Soma hapa, kisha angalia hiyo misimu ilivyotaja na ndipo utapata jibu ikiwa CAF ni wakurupukaji au ni akina Da' Barbara ndio wakurupukaji!

Saaa ilikuwaje Kenya wakapewa barua sababu ya kocha wa Gormahia ila TFF wasipewe sababu ya Simba maaana huo msimu uliopita Dider alikaa kwenye Bench
 
Kama source ni hii Gomez ana sifa .
 
saaa ilikuwaje Kenya wakapewa barua sababu ya kocha wa Gormahia ila TFF wasipewe sababu ya Simba maaana huo msimu uliopita Dider alikaa kwenye Bench
link hapo juu ukisoma Gomes anayo sifa mleta mada amekurupuka
 
link hapo juu ukisoma Gomes anayo sifa mleta mada amekurupuka
Hebu onesha hiyo sifa kwa kuangalia hiyo link unayoisema!!! Si umeona hapo barua ya CAF ikiwaambia TFF ya Kenya kwamba asiye na Pro License from sister confederation basi huyo mtu hana sifa za kukaa bench!! So, Gomez atakuwa na sifa endapo anayo UEFA Pro vinginevyo, hana!!
 
Naona utopolo mmefurahi sana lakini msingekuwa na akili kama luc alivyosema hii habari si ya kufurahia kwenu utopolo. Kama simba imepata mafanikio CAF au hapa nyumbani kwa kufunzwa na makocha wa level hizo je wakija wa level ya juu itakuwaje?
 
Huyo huyo asiye na sifa ndiye aliyetupeleka robo fainali,tunakwenda nae hivyo hivyo tuweke rekodi kwa kufika nusu fainali na fainali na ikiwezekana kuchukua ubingwa kabisa bila kuwa na kocha mwenye sifa.

Simbaaaaaaaaa
 
saaa ilikuwaje Kenya wakapewa barua sababu ya kocha wa Gormahia ila TFF wasipewe sababu ya Simba maaana huo msimu uliopita Dider alikaa kwenye Bench
Kuna moja wapo kati ya haya mawili! Inawezekana TFF ya Kenya waliwaandikia CAF kutaka ufafanuzi, au inawezekana hata TFF nao wamepata barua sawa na hiyo na kuifikisha kwa akina Da Barbara but we all know there's no way Makorokoro FC wanaweza kuitoa barua kama hiyo hadharani unless awepo wa kuivujisha!!
 
Huyo huyo asiye na sifa ndiye aliyetupeleka robo fainali,tunakwenda nae hivyo hivyo tuweke rekodi kwa kufika nusu fainali na fainali na ikiwezekana kuchukua ubingwa kabisa bila kuwa na kocha mwenye sifa.

Simbaaaaaaaaa
Labda uende naye nyumbani kwako, kwa level za Africa hatutaki makocha wa UPE, kama anataka kazi darasani akosome.
 
Huyo huyo asiye na sifa ndiye aliyetupeleka robo fainali,tunakwenda nae hivyo hivyo tuweke rekodi kwa kufika nusu fainali na fainali na ikiwezekana kuchukua ubingwa kabisa bila kuwa na kocha mwenye sifa.

Simbaaaaaaaaa
Acha maneno maneno wewe; maendeleo hayana chama, wala hayataki ushabiki! SAY "NO" to Janja Janja ya elimu ya UPE kwenye Soccer!!
 
Makolo akili zao zimeshikwa na mud, anawaokota wazungu wanao fundisha ndondo ulaya na kuwaleta bongo
 
Club ya Simba ni mkusanyiko ama Burungutu ama genge la wahuni
 
inawezekana pia TFF hawakupata barua ,inawezekana ni kweli Da Rosa hana sifa au anayo tusubiri mda ufike tuone kama atakwepo bench
 
Sasa itakuaje?

Kocha atakuwa anaisubiria timu ndani ya vyumba vya ndani au itabidi awe jukwaani anatoa maelekezo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…