Kocha wa Simba, Didier Gomes inawezekana kutokuwa sehemu ya benchi la Ufundi katika mechi za CAF

Kocha wa Simba, Didier Gomes inawezekana kutokuwa sehemu ya benchi la Ufundi katika mechi za CAF

Kwanza utasomaje online wakati kuna vitendo vinahitajika vitolewe wakati wa kufundishwa physically
We ambaye huna hata certificate ya kufundisha ndondo unahoji kama nani na unajipa umuhimu kama nani
 
Sawa mzee wa kupika taarifa
Mkuu nakukubali sana kwa kupika taarifa zako tangu muda mrefu sana
 
Hebu onesha hiyo sifa kwa kuangalia hiyo link unayoisema!!! Si umeona hapo barua ya CAF ikiwaambia TFF ya Kenya kwamba asiye na Pro License from sister confederation basi huyo mtu hana sifa za kukaa bench!! So, Gomez atakuwa na sifa endapo anayo UEFA Pro vinginevyo, hana!!
Mkuu TFF ya kenya ndiyo nini?
 
Sasa itakuaje?

Kocha atakuwa anaisubiria timu ndani ya vyumba vya ndani au itabidi awe jukwaani anatoa maelekezo..

Kuna mwamba kaweka link, ukisoma taarifa hiyo ya CAF inaonesha hilo swala lilikuwa effective toka msimu wa 2020/21 ambapo Simba walikuwa na huyu kocha na aliruhusiwa kukaa benchi.

Labda kama alipata waiver au msimu huu standard zimebadilishwa, muda utatupa majibu.
 
sikiliza wasafi fm Simba wamejibu kwamba Da Rosa atakwepo bench ingawa kwa sasa hana vigezo ila Simba walishajipanga hawakukurupuka.

Ni kwamba Da Rosa alikuwa anaendelea na mafunzo yake online na anahitimu soon kabla ya mechi za simba za kimataifa.
Nimesikiliza vizuri, labda wewe umekosa kile kipande kilichosema "by January..."!
 
Kumbe ni Kama jezi zao tu, nzuri machoni quality 0% Makocha wao nao ni sifuri kabisa, wanashindia kwa hila za kupuliza madawa vyumba vya timu pinzani na uchawi mwingi
Sasa wewe utaputapu miaka minne yote umeshindwa hata kupuliza na wewe?
 
Makolosenge FC humu yako busy na akina djuma shaaban, mayele na aucho lakini hayajui kocha wao ni QT ndo maana analipwa mil 1 Tu Kwa mwezi. Mwamed ni tapeli sn kafukuza makocha wenye CV kubwa ili alete kocha WA academy za watoto wadogo hata kamshahara kawe kadogo.
Makolosenge yote humu ni majingamajinga Tu mambumbu
Hili swala sio jipya,simba wanalijua muda tu,hii imekuja baada ya kanuni kubadilishwa,huu ni mpira wa Miguu si rede kanuni zinabadilika muda wowote,Gomez alishaanza kozi online,na taarifa ikufikie mpaka kipindi simba anaanza mechi zake tayari kila kitu kipo sawa! TAFUTENI JINGINE
 
Hili swala sio jipya,simba wanalijua muda tu,hii imekuja baada ya kanuni kubadilishwa,huu ni mpira wa Miguu si rede kanuni zinabadilika muda wowote,Gomez alishaanza kozi online,na taarifa ikufikie mpaka kipindi simba anaanza mechi zake tayari kila kitu kipo sawa! TAFUTENI JINGINE
Simba tayari wameajiri kocha hitimana aliyekuwa mtibwa,ndiye atakaa bench na darosa atakuwa kwenye jukwaa la watazamaji,akimuongoza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Utawaweza hawa Mama nibebe kwenda CL na Kocha wao aliyekuwa anakaa kwenye Club moja si chini ya miezi miwili anatimuliwa.Akili zao wamemkabidhi Manara kwa sasa.
Hawa akili zao ni nusu na robo,hawatusumbui kabisaa
 
Acha maneno maneno wewe; maendeleo hayana chama, wala hayataki ushabiki! SAY "NO" to Janja Janja ya elimu ya UPE kwenye Soccer!!
Tulia msukule weweee

Hao CAF iliyojaa waarabu mziki wetu wanaujua ndio maana wanaanza figisu,vipigo vipo palepale hata tukikosa kicha kmmke
 
inawezekana pia TFF hawakupata barua ,inawezekana ni kweli Da Rosa hana sifa au anayo tusubiri mda ufike tuone kama atakwepo bench
Mkuu Uongozi wa Klabu ya Simba umekiri kuwa hana sifa ila kutokana na kwamba alitambua hilo na ikabidi ajiendeleze, hivi karibuni atapata certificate then ataqualify kukaa kwenye bench.
 
Back
Top Bottom