permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Simba imejaa mbumbumbu, tulidhani ni mashabiki tu kumbe na kocha naye ni MEMKWA.Tulieni nyie wamama wa uto,tutawakilisha mulemule kama kawaida yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba imejaa mbumbumbu, tulidhani ni mashabiki tu kumbe na kocha naye ni MEMKWA.Tulieni nyie wamama wa uto,tutawakilisha mulemule kama kawaida yetu
Atunze na mitihani yake tutakagua, asituletee vyeti vya kufyetua.Mkuu Uongozi wa Klabu ya Simba umekiri kuwa hana sifa ila kutokana na kwamba alitambua hilo na ikabidi ajiendeleze, hivi karibuni atapata certificate then ataqualify kukaa kwenye bench.
Na tayari wamemchukua mrundi hitimana aliyekuwa kocha wa mtibwa kukaa kwenye benchi mpaka da rossa akimaliza masomoMkuu Uongozi wa Klabu ya Simba umekiri kuwa hana sifa ila kutokana na kwamba alitambua hilo na ikabidi ajiendeleze, hivi karibuni atapata certificate then ataqualify kukaa kwenye bench.
Ok Memkwa hao hao ndio wanaofika mbali michuano mikubwa,tafakari sasa wasingekuwa memkwa si ndio wangechukua hadi wake zenu?Simba imejaa mbumbumbu, tulidhani ni mashabiki tu kumbe na kocha naye ni MEMKWA.
Anasoma wapi? waache utapeliNa tayari wamemchukua mrundi hitimana aliyekuwa kocha wa mtibwa kukaa kwenye benchi mpaka da rossa akimaliza masomo
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mwaka huu hakuna kusingizia wachezaji wa timu pinzani wana covid.Ok Memkwa hao hao ndio wanaofika mbali michuano mikubwa,tafakari sasa wasingekuwa memkwa si ndio wangechukua hadi wake zenu?
Uwezo wa timu hauhusiani na covid,kama mnajua mnajua tuMwaka huu hakuna kusingizia wachezaji wa timu pinzani wana covid.