Kocha wa Simba, Didier Gomes inawezekana kutokuwa sehemu ya benchi la Ufundi katika mechi za CAF

Kocha wa Simba, Didier Gomes inawezekana kutokuwa sehemu ya benchi la Ufundi katika mechi za CAF

Mbona Biashara united Mara haijatajwa? Ina mana kocha wake anazo sifa zinazohitajika na CAF?
 
Simba walishapewa taarifa muda sana,na washajua nini cha kufanya.Gomes atakuepo kwenye benchi la ufundi uwanjani.
 
Mbona Biashara united Mara haijatajwa? Ina mana kocha wake anazo sifa zinazohitajika na CAF?
Habari zao za kutunga mara ngapi wamwongea huu umaandazi. Ila waambie akiwa hana sifa basi tunaleta mkali yy anakua msaidizi
 
CAF Online
Tuliza muhaho sikiliza wasafi fm Simba wamejibu kwamba Da Rosa atakwepo bench ingawa kwa sasa hana vigezo ila Simba walishajipanga hawakukurupuka.

Ni kwamba Da Rosa alikuwa anaendelea na mafunzo yake online na anahitimu soon kabla ya mechi za simba za kimataifa
 
Tuliza muhaho sikiliza wasafi fm Simba wamejibu kwamba Da Rosa atakwepo bench ingawa kwa sasa hana vigezo ila Simba walishajipanga hawakukurupuka.

Ni kwamba Da Rosa alikuwa anaendelea na mafunzo yake online na anahitimu soon kabla ya mechi za simba za kimataifa
Ongeza sautiiiiiii[emoji441][emoji441][emoji441]
 
Utopolo msisahau kuwa mna mechi ngumu, tena mtacheza bila wakongomani kadhaa. Huyo Gomez tutaenda naye hivyo hivyo hadi atufikishe nusu fainali CAF
 
1631256050940.png
 
Tuliza muhaho sikiliza wasafi fm Simba wamejibu kwamba Da Rosa atakwepo bench ingawa kwa sasa hana vigezo ila Simba walishajipanga hawakukurupuka.

Ni kwamba Da Rosa alikuwa anaendelea na mafunzo yake online na anahitimu soon kabla ya mechi za simba za kimataifa
Sawa Ndg mwandishi
 
Shirikisho la Soka barani Africa (CAF) limetoa orodha ya makocha ambao hawatoruhusiwa kuwa sehemu ya benchi la ufundi katika timu zao kwa kukosa vigezo vya leseni ya CAF A na UEFA PRO.

Didier ambaye ana diploma ya UEFA A, hajakidhi vigezo vilivyowekwa kwa kocha Mkuu kuwa na leseni ya CAF A ama UEFA PRO.

Katika maelezo yaliyotolewa na CAF, kocha Mkuu anapaswa kuwa na leseni tajwa hapo juu huku kocha Msaidizi akipaswa kuwa na CAF B.

Kocha ambaye hatokidhi vigezo tajwa hatoruhusiwa kuwa sehemu ya benchi la ufundi wakati wa mechi za Ligi ya Mabingwa na kombe la Shirikisho.

Hatua hii imefikiwa na CAF ili kuleta thamani na ubora katika michuano hiyo. Hii ni ili kuleta maendeleo katika soka la Africa kwa kuhakikisha kuwa vilabu vinafunzwa na makocha wenye viwango toshelezi katika madaraja ya juu.

Pamoja na kocha Didier, makocha wa klabu za APR, KMKM, El Mereikh na wengine hawatoruhusiwa kuwa sehemu ya benchi la ufundi katika mechi tajwa.

Simba huenda ikawakosa kocha Mkuu na kocha Msaidizi kwa kuwa kocha msaidizi Ndg Selemani Matola ana lesenu ya CAF C ambayo haikidhi vigezo vya kuwa kocha msaidizi.

Simba wana kazi ya ziada ya kufanya.

Naipenda Simba Mshabiki wa Damu.
Wenyewe wanasema mambo yao wana yaendesha kiproffesional zaidi. Ila ukiangalia still ujanja ujanja bado upo.
 
Soka la Tanzania linavyoendeshwa anajua Karia mwenyewe..

Kashfa hii kwa Timu kubwa kama ya Simba SC kuwa na kocha wa sifa hizi kiduchu..
 
Naona ili kikabiliana na hili kocha wa mtibwa nimepanda nae basi hapa toka Moro anakuja dsm kusinya Simba ili achukue nafas hii

Sasa sijui Matola akimaliza mafunzo atakuwa Nani klabuni kwetu

Lesen uefa pro licence kocha HITIMANA ameniambia n almost miaka 2-3 Sasa huyu wetu wa online atahitimu lini sijui

#SIMBA NGUVU MOJA

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naona ili kikabiliana na hili kocha wa mtibwa nimepanda nae basi hapa toka Moro anakuja dsm kusinya Simba ili achukue nafas hii

Sasa sijui Matola akimaliza mafunzo atakuwa Nani klabuni kwetu

Lesen uefa pro licence kocha HITIMANA ameniambia n almost miaka 2-3 Sasa huyu wetu wa online atahitimu lini sijui

#SIMBA NGUVU MOJA

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwanza utasomaje online wakati kuna vitendo vinahitajika vitolewe wakati wa kufundishwa physically
 
Hi thread thimba wameikimbia wanashia
Kuomba link [emoji23][emoji23]

Tukimbie kisa habari hizi za kuunga unga? Kati yako wewe na Simba nani anaanza kupata hizi taarifa mapema? Utopolo akili zenu mmemwachia Manara anafikiria kwa niaba yenu.Subirini Jumapili mmpate haki yenu kutoka kwa Rivers ili akili ziwakae sawa.
 
Huyo huyo asiye na sifa ndiye aliyetupeleka robo fainali,tunakwenda nae hivyo hivyo tuweke rekodi kwa kufika nusu fainali na fainali na ikiwezekana kuchukua ubingwa kabisa bila kuwa na kocha mwenye sifa.

Simbaaaaaaaaa

Utawaweza hawa Mama nibebe kwenda CL na Kocha wao aliyekuwa anakaa kwenye Club moja si chini ya miezi miwili anatimuliwa.Akili zao wamemkabidhi Manara kwa sasa.
 
Makolo akili zao zimeshikwa na mud, anawaokota wazungu wanao fundisha ndondo ulaya na kuwaleta bongo

Bora sisi ametushikia Tajiri Mo,sio nyinyi akili zenu mmemkabidhi Manara anafikiria kwa niaba yenu ndiyo maana alishawaambia ukiondoa Baba yake na JK,wengine wote hamna akili[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom