Kocha wa Simba: Mechi ya kesho dhidi ya Yanga ni nyepesi

Ameanza maneno mengi labda amjui vizuri gamond na yanga pia aijui vizuri awaulize waliomtangulia kuanzia benchikha mpaka Robertinho, asiongee akamaliza maneno baada ya mechi anaweza akasahau na koti lake kwenye benchi aweke akiba ya maneno
 
😅😅 Khaaaaah we cheupe acha hizo.
Sasa sukari ikipanda itakuwaje hasa🙆
Hachelewi kuja na kilatino chake cha gugo kutoa stress za maisha 🤣🤣🤣
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…