Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kesho tukae wapi VIP au VVIP Chagua cheupe madolali😁Yeye atulie kesho sio mbali.
Hii comment aione pakashume la kiga litapandisha sukari chap 🤣🤣🤣Kesho tukae wapi VIP au VVIP Chagua cheupe madolali😁
😅😅 Khaaaaah we cheupe acha hizo.Hii comment aione pakashume la kiga litapandisha sukari chap 🤣🤣🤣
Muda utaongea.View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Hachelewi kuja na kilatino chake cha gugo kutoa stress za maisha 🤣🤣🤣😅😅 Khaaaaah we cheupe acha hizo.
Sasa sukari ikipanda itakuwaje hasa🙆
labda smart kwa kupigwa goli nyingiMm yanga damu ila simba wapo smart nawakubal sana
Hapo kaongea maneno mengi?Aache maneno mengi, hii ndo mechi inayofukuzisha makocha kazi