Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
SorrySasa mbona umeni quote mimi? Ebu Soma post yangu tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SorrySasa mbona umeni quote mimi? Ebu Soma post yangu tena.
Mdomo uliponza kichwa. Amuulize pira objektivu nini kilimkuta enzi zileView attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Endeleeni kuamini kuwa Yanga anashinda, mechi imeshaisha hiyo Simba 2-1 Yanga, poleni kwa maumivu mtakayopataNdugu mama kubwa, yafuatayo ndiyo maneno yatakayoisemwa na wana SANDA FC mara baada ya mechi hapo kesho;
1. Mukwalla tumepigwa
2. Hatumtaki Mangungu
3. Kocha hafai
4. MO atuachie timu yetu
5. Timu haina muunganiko
6. Kapombe amezeeka.
7. Debora akacheze rede
8. Kibu Denga angebaki huko huko alikokimbilia
9. Mgunda angekuwepo haya yasingetukuta
10. Hatuji tena uwanjani
CC
Kalpana
GENTAMYCINE
Tsh
cocastic
Muda ni jawabu tosha. Hadi saa 3 usiku tutakuwa tumeshajua mbivu na mbichi.Yeye atulie kesho sio mbali.
HakikaaaNi vizuri wanayanga mkajiandaa kisaikolojia, litawakuta jambo ambalo hamtaamini.
Ni muhimu kuchukua tahadhari.
Goli ni kuanzia 3
HakikaaaEndeleeni kuamini kuwa Yanga anashinda, mechi imeshaisha hiyo Simba 2-1 Yanga, poleni kwa maumivu mtakayopata
Hakika mkuu,,hajachomokaKabisa👍 Mtu yeyote anayejua mpira anajua kesho yanga hachomoki
Karibu Tanzania na hii ndio Yanga Fadlu na kijogoo chako hicho.View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?