Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na dada Valee naye hivyo hivyo, yatamkuta mamboDada Debo kesho atakutana na wanaume 😹😹😹
Kivumbii kesho 😹😹😹Na dada Valee naye hivyo hivyo, yatamkuta mambo
keshaambiwa ndio maana anajihami hataki kuonekana boya!..😅Kocha ameshaambiwa lakini wale yanga ni akina nani?
Kwani mechi imeshachezwa?Ndugu mama kubwa, yafuatayo ndiyo maneno yatakayoisemwa na wana SANDA FC mara baada ya mechi hapo kesho;
1. Mukwalla tumepigwa
2. Hatumtaki Mangungu
3. Kocha hafai
4. MO atuachie timu yetu
5. Timu haina muunganiko
6. Kapombe amezeeka.
7. Debora akacheze rede
8. Kibu Denga angebaki huko huko alikokimbilia
9. Mgunda angekuwepo haya yasingetukuta
10. Hatuji tena uwanjani
CC
Kalpana
GENTAMYCINE
Tsh
cocastic
Ndugu mama kubwa, yafuatayo ndiyo maneno yatakayoisemwa na wana SANDA FC mara baada ya mechi hapo kesho;
1. Mukwalla tumepigwa
2. Hatumtaki Mangungu
3. Kocha hafai
4. MO atuachie timu yetu
5. Timu haina muunganiko
6. Kapombe amezeeka.
7. Debora akacheze rede
8. Kibu Denga angebaki huko huko alikokimbilia
9. Mgunda angekuwepo haya yasingetukuta
10. Hatuji tena uwanjani
CC
Kalpana
GENTAMYCINE
Tsh
cocastic
Mechi ya kesho siyo nyepesi kwani yeye haogopi kucheza na bingwa wa NBC ambaye anawachezaji wengi wa msimu uliopita?Kusema ni mechi ya kawaida siyo sawa na kusema ni mechi nyepesi acha uongo.
Moderator anatakiwa arekebishe.
Wapi amesema ni nyepesi?Mechi ya kesho siyo nyepesi kwani yeye haogopi kucheza na bingwa wa NBC ambaye anawachezaji wengi wa msimu uliopita?
Acha ushoga wa kupenda wanaume wenzio.Mm yanga damu ila simba wapo smart nawakubal sana
cocastic nimefarijika sana kuona umerudisha picha yako ya mwanzo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliyeanzisha uzi huu angalia kichwa cha habari ,(uzi huu), thread titleWapi amesema ni nyepesi?
Sasa mbona umeni quote mimi? Ebu Soma post yangu tena.Aliyeanzisha uzi huu angalia kichwa cha habari ,(uzi huu), thread title