Usijali cheupe. Mti wenye mwatunda ndio unapigwa mawe🤣 au apewe kadolali apunguze makasiriko🤔Hachelewi kuja na kilatino chake cha gugo kutoa stress za maisha 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali cheupe. Mti wenye mwatunda ndio unapigwa mawe🤣 au apewe kadolali apunguze makasiriko🤔Hachelewi kuja na kilatino chake cha gugo kutoa stress za maisha 🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameanza maneno mengi labda amjui vizuri gamond na yanga pia aijui vizuri awaulize waliomtangulia kuanzia benchikha mpaka Robertinho, asiongee akamaliza maneno baada ya mechi anaweza akasahau na koti lake kwenye benchi aweke akiba ya maneno
🤣🤣😁 Kesho atapata tabu sanaView attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
umeniwahi, tinyo, pira objectivuu lilidunda.Akamuulize Tinyo na pira lake objective
Tumpotezee siku hizi kuwapa kiki machokoraa niliacha 😹😹😹Usijali cheupe. Mti wenye mwatunda ndio unapigwa mawe🤣 au apewe kadolali apunguze makasiriko🤔
Kocha ameshaambiwa lakini wale yanga ni akina nani?View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Watakuwa hawana kazi, maana watakuwa washafukuzwa..!!Kuanzia ijumaa yeye na mangungu kazi wanayo
Kusema ni mechi ya kawaida siyo sawa na kusema ni mechi nyepesi acha uongo.View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe ni viti viwili tofauti..... 😀 😀View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Yanga bingwaTumpotezee siku hizi kuwapa kiki machokoraa niliacha 😹😹😹
Ehh kwanza unashabikia team gani?
Yanga bingwa, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiYanga bingwa
💚💚💚💚💚💚
Dadeq mtani ataweka mpira kwapani 🤣Yanga bingwa, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Simba wachague wenyewe tuwafunge ngapi kesho 😹😹😹
Lugha. Wanapandikiza maneno. Hao ndio UTO.Kusema ni mechi ya kawaida siyo sawa na kusema ni mechi nyepesi acha uongo.
Moderator anatakiwa arekebishe.
Kesho watapoteana 😹😹😹Dadeq mtani ataweka mpira kwapani 🤣
Wanamtegemea Deborah aliekosa penati.Kesho watapoteana 😹😹😹
Dada Debo kesho atakutana na wanaume 😹😹😹Wanamtegemea Deborah aliekosa penati.
Ndugu mama kubwa, yafuatayo ndiyo maneno yatakayosemwa na wana SANDA FC mara baada ya mechi hapo kesho;Lugha. Wanapandikiza maneno. Hao ndio UTO.