Usijali cheupe. Mti wenye mwatunda ndio unapigwa mawe๐คฃ au apewe kadolali apunguze makasiriko๐คHachelewi kuja na kilatino chake cha gugo kutoa stress za maisha ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ameanza maneno mengi labda amjui vizuri gamond na yanga pia aijui vizuri awaulize waliomtangulia kuanzia benchikha mpaka Robertinho, asiongee akamaliza maneno baada ya mechi anaweza akasahau na koti lake kwenye benchi aweke akiba ya maneno
๐คฃ๐คฃ๐ Kesho atapata tabu sanaView attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
umeniwahi, tinyo, pira objectivuu lilidunda.Akamuulize Tinyo na pira lake objective
Tumpotezee siku hizi kuwapa kiki machokoraa niliacha ๐น๐น๐นUsijali cheupe. Mti wenye mwatunda ndio unapigwa mawe๐คฃ au apewe kadolali apunguze makasiriko๐ค
Kocha ameshaambiwa lakini wale yanga ni akina nani?View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Watakuwa hawana kazi, maana watakuwa washafukuzwa..!!Kuanzia ijumaa yeye na mangungu kazi wanayo
Kusema ni mechi ya kawaida siyo sawa na kusema ni mechi nyepesi acha uongo.View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe ni viti viwili tofauti..... ๐ ๐View attachment 3063784Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho dhidi ya Yanga ni wa kawaida na hana presha nao na yupo tayari kuibuka na ushindi. Yapi maoni yako?
Yanga bingwaTumpotezee siku hizi kuwapa kiki machokoraa niliacha ๐น๐น๐น
Ehh kwanza unashabikia team gani?
Yanga bingwa, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiYanga bingwa
๐๐๐๐๐๐
Dadeq mtani ataweka mpira kwapani ๐คฃYanga bingwa, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Simba wachague wenyewe tuwafunge ngapi kesho ๐น๐น๐น
Lugha. Wanapandikiza maneno. Hao ndio UTO.Kusema ni mechi ya kawaida siyo sawa na kusema ni mechi nyepesi acha uongo.
Moderator anatakiwa arekebishe.
Kesho watapoteana ๐น๐น๐นDadeq mtani ataweka mpira kwapani ๐คฃ
Wanamtegemea Deborah aliekosa penati.Kesho watapoteana ๐น๐น๐น
Dada Debo kesho atakutana na wanaume ๐น๐น๐นWanamtegemea Deborah aliekosa penati.
Ndugu mama kubwa, yafuatayo ndiyo maneno yatakayosemwa na wana SANDA FC mara baada ya mechi hapo kesho;Lugha. Wanapandikiza maneno. Hao ndio UTO.