Kocha wa Simba SC, Pablo Franco ni Kocha mzuri ila anahitaji wachezaji

Kocha wa Simba SC, Pablo Franco ni Kocha mzuri ila anahitaji wachezaji

Kocha wa Simba SC, Pablo Franco Martin ni mwalimu mzuri sana, ila anahitaji wachezaji ili kuweza kuongeza nguvu kwenye kikosi chake ili ufanisi wa kazi yake uonekane zaidi Tanzania na Nje.

Kwenye mchezo dhidi ya Orlando Pirates, Simba SC walicheza Football Pass, mbinu ambayo inawafanya wasikae na mpira muda mrefu, huku wakiwa na nidhamu ya kujilinda zaidi.

Kocha Pablo aliingia kwa kuzuia huku akiwa ametengeneza mistari mitatu [5-3-2] wakati ambao Simba hawana mpira Sakho na Mugalu walibaki kwenye mstari kusaidia timu kujilinda, kwa mbinu hii Kocha Pablo alifanikiwa mno ila tatizo likawa kwa mabeki kutokuwa bora kwenye kuanzisha mashambulizi vizuri kutoka chini.

Kwenye mchezo wa Derby ya Kariakoo Kocha Pablo Franco alikuja na mfumo wa [4-2-3-1] kuonyesha kuwa alitaka matokeo ya ushindi lakini Simba hawakuwa bora kwenye idara yake ya ushambuliaji, mipango yote iliishia kushindwa kupiga pasi mpenyezo nyuma ya mabeki wa Yanga.

Kocha Pablo amejipambanua kuwa ni mwalimu mzuri sana ila anahitaji wachezaji ili kuweza kuongeza nguvu kwenye kikosi chake kizidi kuwa tishio na imara ili kuweza kutoa upinzani haswa na kuweka sawia mipango yake uwanjani na kufikia lengo la timu.

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
Sio kocha Yule ni mkandalasi
 
Kwangu bado naona kuna vitu anafosi havina faida, mpaka leo kanoute kashindwa kunishawishi kwa kweli bado anae tu, si aina ya midfielder wa kukamata dimba, akaweza kucommand timu yake na timu pinzani, soka tjnalopenda simba tunahitaji mchezaji wa namna hii, mwenye kuweza kugusa kila nyasi iliyopo uwanjani, kanoute bado katika hili, mugalu kila nikimtizama mimi hanishawishi sio striker wa kuingia uwanjani ukategemea goli toka kwake ama wapinzani wakawa wana mgwaya.
 
Nakubaliana na wewe kwa 80% Ila na yeye anashida kwenye selection ya wachezaji unakuta anakuja na formation nzuri Ila anajaribu selection.
Mfano mechi ya Orlando nafasi aliyokuwa akicheza Israel mwenda kwanini hakuwa Gadiel? Maana tunajua Shabalala anaudhaifu kidogo kwenye kukaba?
Na hata kwenda SA bila Bocco ilikuwa ni risk pia.

Pia Leo akaja na formation nzuri Ila akamkosa Peter Banda ama Jimmyson mwanuke hata Benchi
Wachezaji wa kigeni mwisho nane tu mkuu...
PB isingewezekana kuwepo.
 
Nakubaliana na wewe kwa 80% Ila na yeye anashida kwenye selection ya wachezaji unakuta anakuja na formation nzuri Ila anajaribu selection.
Mfano mechi ya Orlando nafasi aliyokuwa akicheza Israel mwenda kwanini hakuwa Gadiel? Maana tunajua Shabalala anaudhaifu kidogo kwenye kukaba?
Na hata kwenda SA bila Bocco ilikuwa ni risk pia.

Pia Leo akaja na formation nzuri Ila akamkosa Peter Banda ama Jimmyson mwanuke hata Benchi
Gadiel ???
 
Kwangu bado naona kuna vitu anafosi havina faida, mpaka leo kanoute kashindwa kunishawishi kwa kweli bado anae tu, si aina ya midfielder wa kukamata dimba, akaweza kucommand timu yake na timu pinzani, soka tjnalopenda simba tunahitaji mchezaji wa namna hii, mwenye kuweza kugusa kila nyasi iliyopo uwanjani, kanoute bado katika hili, mugalu kila nikimtizama mimi hanishawishi sio striker wa kuingia uwanjani ukategemea goli toka kwake ama wapinzani wakawa wana mgwaya.
Mkuu tunatofautiana kwa kanoute....
Kwangu mimi lazima aanze hata jana alipoumia nilikuwa kichwa chini.
Mid mzuri sana ila Mkude ndio Hapana.
 
Kuna siku nilikuwa nafatilia interviews za matukio baada ya mechi.

Kuna mwana yanga mmoja alitoa ushauri ambao binafsi nakubaliana naye kwa % kubwa.

Alisema tanzania tunaweza tukajijenga vizuri kisoka na tukafanya mambo makubwa ya kuwashangaza mataifa mengine endapo tutakubali kuwa wachoyo

Kwamba leo tukicheza na timu kubwa pinzani, wachezaji wetu wataoonesha ubora zaidi na kuwafanya timu hizo pinzani zisifunge basi management ya timu hizo zitataka kuwanunua hao.

Tatizo linapokuja ni baada ya sisi kuwauza hao wachezaji wazuri na kubakisha hawa wenye average ya kati.

Sasa badala ya hizo Pesa tulizopata baada ya kuuza wachezaji wetu kwa Pesa kubwa tuzitumie kununua wachezaji wengine wakubwa wa aina hiyo au zaidi ya hapo ikiwezekana hata katika hiyo Pesa tuongeze na nyingine ili kupata mchezaji mwenye uwezo wa juu kufikia malengo, tunaanza kuhangaika na sajili za laki mbili mbili eti tuwakuze.

Hapa katikati tutatumia muda mwingi mpaka kunijenga wakati wenzetu wahafika mbaliz na kukishajijenga watakuja tena na madau yao kununua wachezaji ambao wao wanawaona ni tishio kwao.

Kwanini tusiwe wachoyo tusikubali kuwauza, au tuwauze kwa bei kubwa afu tununue wa aina hiyo au zaidi ya hao?

Na ndio maana tunaishia kufukuza makocha, lakini sio kweli kuwa kila matokeo mabaya yanayopatikana basi Sababu ni kocha.

Simba inabidi ifahamu kuwa saizi ni muda wa kufanya makubwa zaidi ya kuishia robo, Wafanye sajili kubwa tano za maana.

Mugalu asepe, bocco tunamheshimu lakini hatuna namna, kagere plus na umri hata yeye mwenyewe analijua, wawa hatufai ana vi cross vya hovyo sana, sakho akishindwa kujirekebisha na tabia yake ya kucheza na jukwaa afungashiwa vilago...
Wengi wenu naona mnapoint wachezaji wa kuondoka bila kusema timu ijengwe vipi.

Ukiangalia kikosi chetu kwa sasa kuna wachezaji karibia 7 waliotupa mafanikio misimu minne iliyopita wanaweza kuondoka mwisho wa msimu kutokana na kukosa makali au umri wao kuwatupa mkono.
1. Paschal Wawa
2. Erasto Nyoni
3. Meddie Kagere
4. John Bocco
5. Tadeo Lwanga
6. Rally Bwalya
7. Bernad Morisson
8. Hassan Dilunga.
9. Gadiel Michael

Hii ni idadi kubwa sana ya senior players ambao yawezekana zaidi ya nusu yao hatutakuwa nao msimu ujao.

Wapi tuboreshe kwa usajili upi na yupi abaki kwenye hiyo list.?

Kwa upande wangu mimi naona Simba wanahitaji kusajili DM mwingine local mchanga na kwa haraka haraka namuona Aziz Andabwile wa Mbeya City kuwa best pick au Kelvin Nahashon Naftali wa Geita Gold FC.

Kwa upande wa left back Simba wanahitaji back up nzuri zaidi ya Gadiel kwangu mimi namuona Kouassi Attohoula Yao wa Asec Mimosas 25 years of age.

Upande wa kulia iwapo Simba watafanikisha kumsajili Victorien Adebayor waachane na Morisson tayari tuna best wing upande huo ambaye ni Peter Banda, Kibu Denis, Hassan Dilunga. Iwapo Simba wataachana na Dilunga msimu huu warudi pale Azam wakamchukue Tepsie Evans ni fringe player mzuri kwa timu kama Simba.

Upande wa central midfield uwezo wa Bwalya hauongezeki tena tunahitaji a more imposed na creative midfielder zaidi yake Simba wamuone Gilbert Beruti kuwa best like to like replacement ya Bwalya ambaye anaweza kucheza position ya Chama pia anapoflop.

Kuondoka kwa Wawa na Nyoni kutatuachia pengo kubwa sana kikosini kwetu tunatakiwa kupata either local versatile player lakini kuziba pengo hilo ni kuwanyang'anya utopolo yule Yannick Bangala by the way ana mkataba wa mwaka mmoja tu.

Kwenye defensive Midfield akiondoka Tadeo Lwanga na kutokana na injury records zake ni heri tuvunje benki tuende TP Mazembe kumchukua Zemanga Soze au tubaki na tulionao.


Kwenye striking force tunahitaji local striker ambaye atakuwa like to like replacement ya Bocco kwangu mimi namuona Lusajo Reliant amekuwa consistent kwa misimu mingi kwa timu kubwa kama Simba tunaweza kunufaika nae wakati huo tukitafuta mbadala wa Kagere na Mugalu though naona bora kubaki na Mugallu ili tusipoteze wote.
 
Sawa mkuu huenda sikuelewa context ya comment yako
Maoni yako mkuu wapi tufagie? Pablo anatosha?
Kwangu mimi....

Onyango akidai hela nyingi aende, Simba wakiwa wanaimudu hiyo hela wampe.

Morrison aende sawa akibaki sawa....

Kagere aende....

Mugalu aende sawa akibaki sawa......

Wawa dah kama mkataba umeisha astaafu tu kwa heshima, ni ngumu kumkataa moja kwa moja ( Tunatakiwa kuheshimu royalty).

Moses Phiri akija safi.....
Tukiongeza kiungo mkabaji ( mkali wa nje) safi.....
Huu ni Upande wa wachezaji wa Nje.
 
Maoni yako mkuu wapi tufagie? Pablo anatosha?
Kwangu mimi....

Onyango akidai hela nyingi aende, Simba wakiwa wanaimudu hiyo hela wampe.

Morrison aende sawa akibaki sawa....

Kagere aende....

Mugalu aende sawa akibaki sawa......

Wawa dah kama mkataba umeisha astaafu tu kwa heshima, ni ngumu kumkataa moja kwa moja ( Tunatakiwa kuheshimu royalty).

Moses Phiri akija safi.....
Tukiongeza kiungo mkabaji ( mkali wa nje) safi.....
Huu ni Upande wa wachezaji wa Nje.
Out.
1. Rally Bwalya
2. Morisson
3. Nyoni
4. Gadiel
5. Kagere
6. Bocco/ Mugallu
7. Lwanga
8. Wawa.

Ins.
1. Aziz Andabwile
2. Zemanga Soze
3. Attohoula Kouassi Yao
4. Moses Phiri
5. Victorien Adebayor
6. Gilbert Beruti
7 Yanic Bangala
8. Tepsie Evan's na Israel Sospeter Bajana.
 
Wengi wenu naona mnapoint wachezaji wa kuondoka bila kusema timu ijengwe vipi.

Ukiangalia kikosi chetu kwa sasa kuna wachezaji karibia 7 waliotupa mafanikio misimu minne iliyopita wanaweza kuondoka mwisho wa msimu kutokana na kukosa makali au umri wao kuwatupa mkono.
1. Paschal Wawa
2. Erasto Nyoni
3. Meddie Kagere
4. John Bocco
5. Tadeo Lwanga
6. Rally Bwalya
7. Bernad Morisson
8. Hassan Dilunga.
9. Gadiel Michael

Hii ni idadi kubwa sana ya senior players ambao yawezekana zaidi ya nusu yao hatutakuwa nao msimu ujao.

Wapi tuboreshe kwa usajili upi na yupi abaki kwenye hiyo list.?

Kwa upande wangu mimi naona Simba wanahitaji kusajili DM mwingine local mchanga na kwa haraka haraka namuona Aziz Andabwile wa Mbeya City kuwa best pick au Kelvin Nahashon Naftali wa Geita Gold FC.

Kwa upande wa left back Simba wanahitaji back up nzuri zaidi ya Gadiel kwangu mimi namuona Kouassi Attohoula Yao wa Asec Mimosas 25 years of age.

Upande wa kulia iwapo Simba watafanikisha kumsajili Victorien Adebayor waachane na Morisson tayari tuna best wing upande huo ambaye ni Peter Banda, Kibu Denis, Hassan Dilunga. Iwapo Simba wataachana na Dilunga msimu huu warudi pale Azam wakamchukue Tepsie Evans ni fringe player mzuri kwa timu kama Simba.

Upande wa central midfield uwezo wa Bwalya hauongezeki tena tunahitaji a more imposed na creative midfielder zaidi yake Simba wamuone Gilbert Beruti kuwa best like to like replacement ya Bwalya ambaye anaweza kucheza position ya Chama pia anapoflop.

Kuondoka kwa Wawa na Nyoni kutatuachia pengo kubwa sana kikosini kwetu tunatakiwa kupata either local versatile player lakini kuziba pengo hilo ni kuwanyang'anya utopolo yule Yannick Bangala by the way ana mkataba wa mwaka mmoja tu.

Kwenye defensive Midfield akiondoka Tadeo Lwanga na kutokana na injury records zake ni heri tuvunje benki tuende TP Mazembe kumchukua Zemanga Soze au tubaki na tulionao.


Kwenye striking force tunahitaji local striker ambaye atakuwa like to like replacement ya Bocco kwangu mimi namuona Lusajo Reliant amekuwa consistent kwa misimu mingi kwa timu kubwa kama Simba tunaweza kunufaika nae wakati huo tukitafuta mbadala wa Kagere na Mugalu though naona bora kubaki na Mugallu ili tusipoteze wote.
Illmatic
 
Kama ni hivyo basi kusingekuwa na usajili wa dirisha kubwa na ndogo.

Kagere, Bocco, Mugalu ni wachezaji ambao tunawaheshimu kwa kuitumikia Simba kikamilifu..!
Basi msimu ujao tuwapeleke wakacheze timu mojawapo kwa mkopo. Tusajili wengine ili tuwe na Kikosi cha Maangamizi msimu ujao.
 
Wengi wenu naona mnapoint wachezaji wa kuondoka bila kusema timu ijengwe vipi.

Ukiangalia kikosi chetu kwa sasa kuna wachezaji karibia 7 waliotupa mafanikio misimu minne iliyopita wanaweza kuondoka mwisho wa msimu kutokana na kukosa makali au umri wao kuwatupa mkono.
1. Paschal Wawa
2. Erasto Nyoni
3. Meddie Kagere
4. John Bocco
5. Tadeo Lwanga
6. Rally Bwalya
7. Bernad Morisson
8. Hassan Dilunga.
9. Gadiel Michael

Hii ni idadi kubwa sana ya senior players ambao yawezekana zaidi ya nusu yao hatutakuwa nao msimu ujao.

Wapi tuboreshe kwa usajili upi na yupi abaki kwenye hiyo list.?

Kwa upande wangu mimi naona Simba wanahitaji kusajili DM mwingine local mchanga na kwa haraka haraka namuona Aziz Andabwile wa Mbeya City kuwa best pick au Kelvin Nahashon Naftali wa Geita Gold FC.

Kwa upande wa left back Simba wanahitaji back up nzuri zaidi ya Gadiel kwangu mimi namuona Kouassi Attohoula Yao wa Asec Mimosas 25 years of age.

Upande wa kulia iwapo Simba watafanikisha kumsajili Victorien Adebayor waachane na Morisson tayari tuna best wing upande huo ambaye ni Peter Banda, Kibu Denis, Hassan Dilunga. Iwapo Simba wataachana na Dilunga msimu huu warudi pale Azam wakamchukue Tepsie Evans ni fringe player mzuri kwa timu kama Simba.

Upande wa central midfield uwezo wa Bwalya hauongezeki tena tunahitaji a more imposed na creative midfielder zaidi yake Simba wamuone Gilbert Beruti kuwa best like to like replacement ya Bwalya ambaye anaweza kucheza position ya Chama pia anapoflop.

Kuondoka kwa Wawa na Nyoni kutatuachia pengo kubwa sana kikosini kwetu tunatakiwa kupata either local versatile player lakini kuziba pengo hilo ni kuwanyang'anya utopolo yule Yannick Bangala by the way ana mkataba wa mwaka mmoja tu.

Kwenye defensive Midfield akiondoka Tadeo Lwanga na kutokana na injury records zake ni heri tuvunje benki tuende TP Mazembe kumchukua Zemanga Soze au tubaki na tulionao.


Kwenye striking force tunahitaji local striker ambaye atakuwa like to like replacement ya Bocco kwangu mimi namuona Lusajo Reliant amekuwa consistent kwa misimu mingi kwa timu kubwa kama Simba tunaweza kunufaika nae wakati huo tukitafuta mbadala wa Kagere na Mugalu though naona bora kubaki na Mugallu ili tusipoteze wote.
Ushauri mzuri sana huu ndugu PTER . Sijui kama viongozi wa Simba ushauri huu utawafikia. Naomba uwapelekee kupitia kurasa zao rasmi za mawasiliano za mtandao!
 
Wengi wenu naona mnapoint wachezaji wa kuondoka bila kusema timu ijengwe vipi.

Ukiangalia kikosi chetu kwa sasa kuna wachezaji karibia 7 waliotupa mafanikio misimu minne iliyopita wanaweza kuondoka mwisho wa msimu kutokana na kukosa makali au umri wao kuwatupa mkono.
1. Paschal Wawa
2. Erasto Nyoni
3. Meddie Kagere
4. John Bocco
5. Tadeo Lwanga
6. Rally Bwalya
7. Bernad Morisson
8. Hassan Dilunga.
9. Gadiel Michael

Hii ni idadi kubwa sana ya senior players ambao yawezekana zaidi ya nusu yao hatutakuwa nao msimu ujao.

Wapi tuboreshe kwa usajili upi na yupi abaki kwenye hiyo list.?

Kwa upande wangu mimi naona Simba wanahitaji kusajili DM mwingine local mchanga na kwa haraka haraka namuona Aziz Andabwile wa Mbeya City kuwa best pick au Kelvin Nahashon Naftali wa Geita Gold FC.

Kwa upande wa left back Simba wanahitaji back up nzuri zaidi ya Gadiel kwangu mimi namuona Kouassi Attohoula Yao wa Asec Mimosas 25 years of age.

Upande wa kulia iwapo Simba watafanikisha kumsajili Victorien Adebayor waachane na Morisson tayari tuna best wing upande huo ambaye ni Peter Banda, Kibu Denis, Hassan Dilunga. Iwapo Simba wataachana na Dilunga msimu huu warudi pale Azam wakamchukue Tepsie Evans ni fringe player mzuri kwa timu kama Simba.

Upande wa central midfield uwezo wa Bwalya hauongezeki tena tunahitaji a more imposed na creative midfielder zaidi yake Simba wamuone Gilbert Beruti kuwa best like to like replacement ya Bwalya ambaye anaweza kucheza position ya Chama pia anapoflop.

Kuondoka kwa Wawa na Nyoni kutatuachia pengo kubwa sana kikosini kwetu tunatakiwa kupata either local versatile player lakini kuziba pengo hilo ni kuwanyang'anya utopolo yule Yannick Bangala by the way ana mkataba wa mwaka mmoja tu.

Kwenye defensive Midfield akiondoka Tadeo Lwanga na kutokana na injury records zake ni heri tuvunje benki tuende TP Mazembe kumchukua Zemanga Soze au tubaki na tulionao.


Kwenye striking force tunahitaji local striker ambaye atakuwa like to like replacement ya Bocco kwangu mimi namuona Lusajo Reliant amekuwa consistent kwa misimu mingi kwa timu kubwa kama Simba tunaweza kunufaika nae wakati huo tukitafuta mbadala wa Kagere na Mugalu though naona bora kubaki na Mugallu ili tusipoteze wote.
zemanga sonze 🔥🔥🔥🔥🤝
 
Ushauri mzuri sana huu ndugu PTER . Sijui kama viongozi wa Simba ushauri huu utawafikia. Naomba uwapelekee kupitia kurasa zao rasmi za mawasiliano za mtandao!


Mkuu viongozi wa Simba huwa wanafuatilia kwenye hiyo thread nilisugest Simba wamsajili Tadeo Lwanga baada ya mashindano ya AFCON ambayo na taifa stars tulicheza kwenye dirisha dogo last season wakamleta.

Hata kwenye hiyo orodha yawezekana Aziz, Gilbert, Zemanga Soze, Lusajo wakawa wekundu next season
 
Kwangu bado naona kuna vitu anafosi havina faida, mpaka leo kanoute kashindwa kunishawishi kwa kweli bado anae tu, si aina ya midfielder wa kukamata dimba, akaweza kucommand timu yake na timu pinzani, soka tjnalopenda simba tunahitaji mchezaji wa namna hii, mwenye kuweza kugusa kila nyasi iliyopo uwanjani, kanoute bado katika hili, mugalu kila nikimtizama mimi hanishawishi sio striker wa kuingia uwanjani ukategemea goli toka kwake ama wapinzani wakawa wana mgwaya.
Kwa kanoute nakupinga, yupo vizuri sana, na ameshadhihirisha hilo, sema hanaga mambo ya jukwaani,

Kanoute abaki na awepo sana tu.
 
Out.
1. Rally Bwalya
2. Morisson
3. Nyoni
4. Gadiel
5. Kagere
6. Bocco/ Mugallu
7. Lwanga
8. Wawa.

Ins.
1. Aziz Andabwile
2. Zemanga Soze
3. Attohoula Kouassi Yao
4. Moses Phiri
5. Victorien Adebayor
6. Gilbert Beruti
7 Yanic Bangala
8. Tepsie Evan's na Israel Sospeter Bajana.
Hapo kwa Aziz na yanick, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom