Bwaly pekee ni namba 8 bora kuliko kanoute.
Kwa soka letu la Afrika nitakuongopea maana wachezaji wengi hatuwajui ama hatupati nafasi ya kuwaona, inahitajika scouting ya kutosha kupata hao watu
Walimpataje chama, kabla ya hapo sikuwa namjua chama, vipi niyonzima wa yanga, pape ousmane,
Kabla sikuwa nikiwajua bangala, inock baka, wala yeye kanoute hivyo nitaongopa tu.
Huku kusajili kwa majina kazi ni scouting, anahitajika mchezajinwa hivi hivi na hivi. Sasa kanoute kwangu mimi sifa za midfielder mzuri kwa soka la simba hana sifa hizo, simba wanataka kudominate game, kupiga pasi nyingi sasa engine ya timu anapokuwa hana uwezo wa kupiga hizo pass lazima mfeli, yule ni midfielder wa buuu, buuu, buu. Viungo jamii ya abubakar sure boy, cesc fabregas, thiago motta, xavi, thaban scara kamusoko, aucho, niyonzima, mido inapiga pasi inautaka tena, sio akioiga pasi ndio kamaliza shughuli yake.