Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni mnaoshabikia timu ya taifa.
Rais kikwete okoa mpila wetu..fukuza mtu anayeitwa Jamali malinzi
Malinzi ni jangiri...yaani alivohamishia ofisi ppf towers tu nikajua hili ni boga hakuna Rais pale..na majibu yake ya kwenye kanga wakati wa kumchagua mwizi Blatter ndio kabisaaaaa
Safi sana.
We ave talented young players and we still be best losers,
Better if he get sack...tunataka improvments,sio kila siku roho juu juu tu
Mm sioni ubaya wa huyo kocha athari za timu ya taifa kufanya vibaya ni ndogo sana ukilinganisha na athari za serikali ya za majiji ya Dsm.
Kama kweli tuna uchungu na nchi hii na tunahitaji maendeleo ya kweli tungeanza kumuondoa meya wa Dsm Masaburi tukaendelea kuwaondoa mameya wa Ilala Temeke na kinondoni. Na hata viongozi waajiriwa wa majiji hayo.
Uchafu wa kocha wa timu ya taifa ni mdogo sana kuliko watu hao nilio wataja.
Jiji la Dsm limekuwa kama danguro halieleweki halina mpangilio halina usimamizi wala taratibu nahisi sina kauli nzuri yakulielezea zsidi ya kusema viongozi wa majiji yote ya Dsm ni wabovu na hawako kwa ajili ya watu Dsm.
Laiti pangekuwa na vipindi vya radio na tv na kurasa za magazeti zinazo zungumzia utendaji wa majiji ya Dsm kama za michezo basi wengi wetu wangejua kama mpira sio tatizo kama jiji lilivyo.
Lakini kwakuwa mpira una vipindi ktk radio na tv na unakurasa ktk magazeti ndio tunaona tunavyo boronga.
Shida za uchafu shida za foleni za magari shida za kusimamia sheria za majiji shida za kila aina lakini mameya hawazioni mpaka shida za vituo vya dalala nazo hawazioni.
Mm sioni hata kwa nini tunakuwa na mameya.
Mm sioni ubaya wa huyo kocha athari za timu ya taifa kufanya vibaya ni ndogo sana ukilinganisha na athari za serikali ya za majiji ya Dsm.
Kama kweli tuna uchungu na nchi hii na tunahitaji maendeleo ya kweli tungeanza kumuondoa meya wa Dsm Masaburi tukaendelea kuwaondoa mameya wa Ilala Temeke na kinondoni. Na hata viongozi waajiriwa wa majiji hayo.
Uchafu wa kocha wa timu ya taifa ni mdogo sana kuliko watu hao nilio wataja.
Jiji la Dsm limekuwa kama danguro halieleweki halina mpangilio halina usimamizi wala taratibu nahisi sina kauli nzuri yakulielezea zsidi ya kusema viongozi wa majiji yote ya Dsm ni wabovu na hawako kwa ajili ya watu Dsm.
Laiti pangekuwa na vipindi vya radio na tv na kurasa za magazeti zinazo zungumzia utendaji wa majiji ya Dsm kama za michezo basi wengi wetu wangejua kama mpira sio tatizo kama jiji lilivyo.
Lakini kwakuwa mpira una vipindi ktk radio na tv na unakurasa ktk magazeti ndio tunaona tunavyo boronga.
Shida za uchafu shida za foleni za magari shida za kusimamia sheria za majiji shida za kila aina lakini mameya hawazioni mpaka shida za vituo vya dalala nazo hawazioni.
Mm sioni hata kwa nini tunakuwa na mameya.
Mm sioni ubaya wa huyo kocha athari za timu ya taifa kufanya vibaya ni ndogo sana ukilinganisha na athari za serikali ya za majiji ya Dsm.
Kama kweli tuna uchungu na nchi hii na tunahitaji maendeleo ya kweli tungeanza kumuondoa meya wa Dsm Masaburi tukaendelea kuwaondoa mameya wa Ilala Temeke na kinondoni. Na hata viongozi waajiriwa wa majiji hayo.
Uchafu wa kocha wa timu ya taifa ni mdogo sana kuliko watu hao nilio wataja.
Jiji la Dsm limekuwa kama danguro halieleweki halina mpangilio halina usimamizi wala taratibu nahisi sina kauli nzuri yakulielezea zsidi ya kusema viongozi wa majiji yote ya Dsm ni wabovu na hawako kwa ajili ya watu Dsm.
Laiti pangekuwa na vipindi vya radio na tv na kurasa za magazeti zinazo zungumzia utendaji wa majiji ya Dsm kama za michezo basi wengi wetu wangejua kama mpira sio tatizo kama jiji lilivyo.
Lakini kwakuwa mpira una vipindi ktk radio na tv na unakurasa ktk magazeti ndio tunaona tunavyo boronga.
Shida za uchafu shida za foleni za magari shida za kusimamia sheria za majiji shida za kila aina lakini mameya hawazioni mpaka shida za vituo vya dalala nazo hawazioni.
Mm sioni hata kwa nini tunakuwa na mameya.