Kocha wa Taifa Stars ni mzuri sana, bado tuna nafasi ya kushinda mechi zijazo

Kocha wa Taifa Stars ni mzuri sana, bado tuna nafasi ya kushinda mechi zijazo

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Taifa Stars inaelekea kukua vizuri na ufundi wake unaridhisha ingawa tumefungwa na Algeria nyumbani.

Wachezaji wanajua kujiapanga uwanjani wakienda mbele na nyuma ki team work, wanaanzisha mashambulizi kuanzia golini na midfiled inapanda na kushuka na kutanua uwanja kwa pasi za uhakika.

Kama mtu unafurahia hatua za mtoto kukua tangia azaliwe basi Taifa Stars ipo katika hatua nzuri sana inavyokua kisoka.

Nilikuwa sijawahi kuwaona Taifa Stars wakicheza live kwa kipindi kirefu nikijua wao butua butua na kelele nyingi uwanjani kuombana pasi, lakini Kim kabadilisha sana team kiufundi uwanjani hakuna kelele tena kila mtu anawajibika katika nafasi yake.

Watanzania tukubali uchanga wetu na kufurahia kukua vizuri timu yetu. Huyu kocha aendelee kuionoa timu na ipo siku tutafika fainali za World Cup chini ya usimamizi wa Kim Paulsen.
 
Pale hamna timu ya kwenda kushinda hata hatu ya makundi afcon ni heri timu itolewe mapema tusipate aibu huko mbeleni
 
Utashindaje wakati nafasi unazopata unashindwa kuzitumia vizuri wenzako wakipata wanakufunga
 
Uzuri wake upo wapi? Yaani kocha unamuazisha Msuva asiekuwa na timu unamuacha kinara wa magoli nje!?
Babu kaju (sureboy) wakuachwa nje mechi ya nyumba i ambayo unahitaji ushindi? Hamna bwana hawa makocha wanaokuja bonho bwana waganga njaa tuu hawatatufikisha kokote.

Its high time now wazawa nao wapewe chance. Mbona ethiopia ameenda afcon ya mwisho ikiwa timu pekee with no player playing in top european team na kocha mzawa. Jana mosri kapigiwa mpira wa maana kabisa na wale vijana.

Yaani kama kuna watu wana akili ni bora tukamchukie ye kocha wa ethiopia tuu.
 
Uzuri wake upo wapi? Yaani kocha unamuazisha Msuva asiekuwa na timu unamuacha kinara wa magoli nje!?
Babu kaju (sureboy) wakuachwa nje mechi ya nyumba i ambayo unahitaji ushindi? Hamna bwana hawa makocha wanaokuja bonho bwana waganga njaa tuu hawatatufikisha kokote.

Its high time now wazawa nao wapewe chance. Mbona ethiopia ameenda afcon ya mwisho ikiwa timu pekee with no player playing in top european team na kocha mzawa. Jana mosri kapigiwa mpira wa maana kabisa na wale vijana.

Yaani kama kuna watu wana akili ni bora tukamchukie ye kocha wa ethiopia tuu.
Yaami wamempiga kisawasawa Ona hapa

 
Yaami wamempiga kisawasawa Ona hapa


Kaka hii mechi mie nimeiangalia mwanzo mwisho. It was not a fluke ..mwarabu jana alitawaliwa kinoma vijana wanacheza kampa kampa tena kocha pembeni katulia anaangalia show. Sio sie huku makocha wahasishaji tuu kelel nyingi hamna lolote la maana linaganyika uwanjani.

Hawa ethiopia toka afcon walikuwa wanacheza vizuri sana sema finishing ndio changamoto. Ata game dhidi ya malawi walicheza vizuri. Ila jana, an absolute masterclass. Ukisikia mbungi imepigwa jana mbungi imepigwa kweli kweli na hawa vijana.
Huyo kocha anajua bwana. Alafu timu imejaa wachezaji wa ndani tupu.
 
Taifa Stars inaelekea kukua vizuri na ufundi wake unaridhisha ingawa tumefungwa na Algeria nyumbani.

Wachezaji wanajua kujiapanga uwanjani wakienda mbele na nyuma ki team work, wanaanzisha mashambulizi kuanzia golini na midfiled inapanda na kushuka na kutanua uwanja kwa pasi za uhakika.

Kama mtu unafurahia hatua za mtoto kukua tangia azaliwe basi Taifa Stars ipo katika hatua nzuri sana inavyokua kisoka.

Nilikuwa sijawahi kuwaona Taifa Stars wakicheza live kwa kipindi kirefu nikijua wao butua butua na kelele nyingi uwanjani kuombana pasi, lakini Kim kabadilisha sana team kiufundi uwanjani hakuna kelele tena kila mtu anawajibika katika nafasi yake.

Watanzania tukubali uchanga wetu na kufurahia kukua vizuri timu yetu. Huyu kocha aendelee kuionoa timu na ipo siku tutafika fainali za World Cup chini ya usimamizi wa Kim Paulsen.
Tutatolewa Afcon mna hata CHAN hatutafuzu,
Kim hana CV ya kufundisha timu yoyote ya maana ta Taifa .Amekuja tena Tz akitokea Denmark ambapo alikuwa akifundisha timu ya daraja la tano!!
Tangu alipoondoka hapa Tz hakuwahi pata offer ya timu yoyote ya Taifa.
Bado Etienne na Amunike watabaki kuwa makocha bora kimafanikio kwa timu yetu ya Taifa ingawa hawakupata resources nyingi km alizopata Kim.
 
Tutatolewa Afcon mna hata CHAN hatutafuzu,
Kim hana CV ya kufundisha timu yoyote ya maana ta Taifa .Amekuja tena Tz akitokea Denmark ambapo alikuwa akifundisha timu ya daraja la tano!!
Tangu alipoondoka hapa Tz hakuwahi pata offer ya timu yoyote ya Taifa.
Bado Etienne na Amunike watabaki kuwa makocha bora kimafanikio kwa timu yetu ya Taifa ingawa hawakupata resources nyingi km alizopata Kim.
Aseee huwa unaangalia mpira?
Serengeti boys iliyofanya vizuri ni zao la Kim......
Stars ya kim ndio inangalika, hizo zingine nilikuwa siwezi tazama kabisa.
 
Aseee huwa unaangalia mpira?
Serengeti boys iliyofanya vizuri ni zao la Kim......
Stars ya kim ndio inangalika, hizo zingine nilikuwa siwezi tazama kabisa.
wewe unajua soka kupia huyo uliyrmjibu. Taifa stars inaangalika na inavutia sana.amunike na yule mrundi walikuwa ngumbaru kabisaaa. wa hawa ngumbaru(kisomo cha uzeeni) taifa stars ilikuwa pasi moja mpira golini! KIm mtaalam unawaona defensive midfiders na attacking midfidera wakihaha kuziba miaya ya adui kumiliki mipira. halafu tukishambuliwa unaona kbs defensi inavyojipanga utadhania mstari imepigwa wakiziba crosi na kutoa kwa vichwa pasi za pambeni.
 
Aseee huwa unaangalia mpira?
Serengeti boys iliyofanya vizuri ni zao la Kim......
Stars ya kim ndio inangalika, hizo zingine nilikuwa siwezi tazama kabisa.
Mpira ni matokeo sio square passes.
Kim hana mbinu za maana.
Chenga twawala bila ushindi ni kazi bure

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Mpira ni matokeo sio square passes.
Kim hana mbinu za maana.
Chenga twawala bila ushindi ni kazi bure

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Itakuwa ni ndoto asee.....
Au ni mpuuzi pekee anaweza akamuhoji kim why hujawafunga Algeria.
Hata akija kocha Yesu Algeria hatuwezi wafunga.
Sasa kama inafahamika hatuwezi shinda kwanini tusiangalie progress zingine?
 
Ethiopia wamemuokota Misri akiwa hajatimia.
 
Back
Top Bottom