Mwisho wetu robo fainaliHii ishu niliona siku moja wanaiongelea watu wa Africa Kusini. Hasa baada ya Nabi kufanya vizuri akiwa Yanga wakati sehemu zingine akiwa amefeli na kuonekana kufeli Kaizer Chiefs, wakatoka kwa Nabi wakaja kwa kocha Fadlu ambaye anaonekana kwenye ligi anaongoza ligi wakati hakuwahi kufanya vizuri popote pale na wakamalizia na kocha Saed
Hata kama ndio amuanzishe musonda na boka alafu eti na dube akaaanza kabisa..Sead,(Said)Ramovic kocha wa Yanga anazidi kututibua mashabiki wView attachment 3206228
Sead,(Said)Ramovic kocha wa Yanga anazidi kututibua mashabiki wView attachment 3206228
Wale wajana wamevuruga uduguMbona kuna waarabu wametota leo mbele ya simba
Kazingua sanaHapo kakosea aisee
Iyuu hana mbinu na ndo maan sub zake anafanya dakik za nyongezaSead,(Said)Ramovic kocha wa Yanga anazidi kututibua mashabiki wView attachment 3206228