Kocha wa Yanga asema ligi ya Tanzania ni dhaifu ndio maana Yanga wametolewa

Kocha wa Yanga asema ligi ya Tanzania ni dhaifu ndio maana Yanga wametolewa

Hii ishu niliona siku moja wanaiongelea watu wa Africa Kusini. Hasa baada ya Nabi kufanya vizuri akiwa Yanga wakati sehemu zingine akiwa amefeli na kuonekana kufeli Kaizer Chiefs, wakatoka kwa Nabi wakaja kwa kocha Fadlu ambaye anaonekana kwenye ligi anaongoza ligi wakati hakuwahi kufanya vizuri popote pale na wakamalizia na kocha Saed
Mwisho wetu robo fainali
 
Sead,(Said)Ramovic kocha wa Yanga anazidi kututibua mashabiki wView attachment 3206228
1737275789142.png


kuna Kipindi nilishasema kuhusu ligi ya Alrgeria
 
CV yake siyo level ya Yanga,bora Gambondi angebaki.Al-hilal hawa kucheza ligi misimu miwil,sasa wanacheza mauritian lakini wame fameyana vizuri.CV yake ni ya kawaida sana,uongozi uliingia cha kike na mashabiki wakajaa na propaganda za gusa twenda kwao xiewwww
 
Back
Top Bottom