Kocha wa Yanga: Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90

Kocha wa Yanga: Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90

Mna uhakika huyu kocha hakua kwenye hili kundi la...


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
1000288139.jpg
 
Baada kipigo kutoka kwa Al Hilal (2-0) kocha wa yanga anasema “Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90”

— Kocha Sead Ramovic

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Mbona mpira tumeangalia wote,yanga ndio waliomiliki mpira zaidi na wameongoza kwa kukukosa magoli mengi,Al hilal muda mwingi walikuwa wako golini kwao maana walikuwa wanashambuliwa sana ,alikuwa ana anazungumzia fitness gani tena? Ya mguu wa tatu?😀
 
Back
Top Bottom