Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo excuses haikuweza kumfanya Gamondi abaki.
Ajichunge kwenye mechi mbili zijazo
Watu hawatajali kauli yake tena
Aache upumbavu! Fitness imeenda wapi?Baada kipigo kutoka kwa Al Hilal (2-0) kocha wa yanga anasema “Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90”
— Kocha Sead Ramovic
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Huyu kocha kama ndiyo kauli yake hiyo hafiki mbali!Mbona mpira tumeangalia wote,yanga ndio waliomiliki mpira zaidi na wameongoza kwa kukukosa magoli mengi,Al hilal muda mwingi walikuwa wako golini kwao maana walikuwa wanashambuliwa sana ,alikuwa ana anazungumzia fitness gani tena? Ya mguu wa tatu?😀
Kabisa mkuu,ametuona hatujui mpira.Huyu kocha kama ndiyo kauli yake hiyo hafiki mbali!
Msianze kufanya tukaamini kuhusu zile sindano.Baada kipigo kutoka kwa Al Hilal (2-0) kocha wa yanga anasema “Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90”
— Kocha Sead Ramovic
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Khaaa!!!@kwan inginia anasemaje???Kwa nini hawakutoa timu uwanjani baada ya kipindi cha kwanza?
Wamechoshwa na nini/nani/nakitugani, ongezeeni na nyieWachezaji hawana accuracy.. sijui neno zuri kisoka... Ila wanabahatisha...na pia wako hoii..wamechookaa
That is very bad for a team..
Akague umri wao hahahhaahha atashangaa sana kuwa anafundisha veteraniBaada kipigo kutoka kwa Al Hilal (2-0) kocha wa yanga anasema “Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90”
— Kocha Sead Ramovic
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |
Kocha huyu kaletwa apambane na Fadlu. Kosa waliofanya kuwasajili Chama na Baleke ili kuikomoa Simba wamefanya tena Kwa kocha. Tunasubiri supu kesho Jangwani😄😄Mtu na akili zake timamu uwezo wake wa vetting umeishia kwa kocha anae shikilia mkia ..
Sindano tena,kwani wanaumwa...Awachome sindano aache kulalamika.
Anaweza akawa anamjua Ki Azizi, lakini akawa HAJUI kuwa nyuma yake kuna Mobetto! Ahahahahaha!!Anamfahamu Aziz ki ama
Wacheze dakik 60Wana ya kucheza dk ngapi wapunguziwe? 90' ni nyingi mno.
Mwache atapetape kama hajatupiwa virago! Ajue sasa Uchebe hana timu shauri yake!Kabisa mkuu,ametuona hatujui mpira.
Wewe muda wote uko na mpira wanzako wamepata shot 2 tu on targets wamefunga zote,wewe shot 5 umekosa zote unazungumzia fitness .wonder shall never end.
Wachezaji wanapuliza shisha kwenye maclub ya usiku unategemea pumzi wanatoa wapiAache upumbavu! Fitness imeenda wapi?
Mbona wamekimbiza dakika zote jamani! Sema walikuwa hawana bahati ya kufunga tu! Makosa ya mchezaji mmoja mmoja hayakwepeki! Bacca overconfidence imemponza! Ule mpira alikuwa na nafasi ya kuupiga nje akajidai kulizuia! Kibabage ndiye alikuwa anakatika!Wachezaji wanapuliza shisha kwenye maclub ya usiku unategemea pumzi wanatoa wapi
Awachome sindano za kuongeza nguvu/dakika.Bloody-topoloz!Baada kipigo kutoka kwa Al Hilal (2-0) kocha wa yanga anasema “Wachezaji wangu hawana fitness ya kucheza dakika 90”
— Kocha Sead Ramovic
Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |