Kocha mzuri ni kukubali tu hatukucheza vizuri na ukweli Al Hilal walicheza vizuri kwa malengo kabisa unaona wanataka nini mambo ya fitness ni yenu kambini league iko round sijui ya 8 unaongelea fitness. Mpira wetu unakuzwa kwenye mitandao kuliko uhalisia ilifika wakasema Job na Baca wangekuwa real Madrid wasingeruhusu ma goal mechi na Barca. Kidogo wakaanza kuamini ubingwa wa Africa wanachukuwa. Leo tumejuwa uwezo wetu. Kwenda Afcon ni kwa sababu team 24 siku hizi enzi za 12 hatugusi.