Kocha Yanga hajawahi kushinda mchezo wowote kimataifa

Kocha Yanga hajawahi kushinda mchezo wowote kimataifa

Mnamo mwaka 2014 mwezi wa 3 kwenye msimu wa CAF CL akiwa na Al-Hilal mechi ya round ya kwanza alishinda 2-0 dhidi ya Stade Malien


Kama ni kwa Yanga sawa ila AL HILAL ALISHINDA
Tunaijadili Utopolo. By the way kumbe mara ya mwisho ni 2014 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa mlimpaje uProfesa, au Profesa maji marefu
 
Bora hata prof.maji marefu huyu ni maji mafupi
Tunaijadili Utopolo. By the way kumbe mara ya mwisho ni 2014 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mlimpaje uProfesa, au Profesa maji marefu
 
View attachment 2320580
Bonus
Kocha kabla ya kuja Yanga alikuwa Al Merrick Sudan, ambapo mechi 2 za mwisho
Simba 3-0 Merrick
Merick 0- 0 Simba

Dokezo
Hiyo Somalia ni under 20

My Take
Kukosoa huwezi labda uropoke
Amewafunga zimba, kwani si tumekubaliana kuwa zimba level Yao ni sawa na Al ahly au berkane? Au zimba sio wa kimataifa? Paka shume mkubwa
 
Back
Top Bottom