Mourinho huyu huyu anae mcoach Fellaini na lukaku???Sijui kwa sababu gani hujamtaja tactician JOSE MOURINHO.
Ile timu kocha Messi wale wengine volunteers..Haya mlo kuwa mna bisha mme muona Valverde mzee wa naster plan?
EehIle timu kocha Messi wale wengine volunteers..
Ile timu kocha Messi wale wengine volunteers..
Au kuna mwingine unayemjua?Mourinho huyu huyu anae mcoach Fellaini na lukaku???
Kwani nafasi ni short on target?..mpira ulionekana kwenye tv yako tu?Nafasi gani walizochezea bhana wakati wakikuwa hawazitengenezi
Shot on target zenyewe walipiga 3.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwani nafasi ni short on target?..mpira ulionekana kwenye tv yako tu?
Short offtarget haiwezi kuwa nafasi?..ball possession ilikuaje?..kabla ya goli la pili game ilikuaje?..baada ya goli la kwanza game ilikuaje?..mbona hata watangazaji walisema score board haielezi ukweli wa game ilivyo..au ulikua kibanda umiza?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Unajua maana ya short on target?
KwannMhhh kwa msimu huuu zinade uwezi kumuweka kwenye kuwania ukocha bora
Unajua maana ya short on target? Ball possession ni mipango ya kocha hiyo, kocha wa sasa wa barcelona hategemei possesion ndio maana nika kwambia inaitwa pragmatic football. Ndio plani hzo ndio maana chelsea ilichezeaa mpira but ikawa inashindwa ku create chances. We watangaxaji hao mi sku waskia au ulikuwa unaangalizia TV1 maana kuna vituo vingi vina onesha UCL .Short offtarget haiwezi kuwa nafasi?..ball possession ilikuaje?..kabla ya goli la pili game ilikuaje?..baada ya goli la kwanza game ilikuaje?..mbona hata watangazaji walisema score board haielezi ukweli wa game ilivyo..au ulikua kibanda umiza?
Kocha bora kwa vilabu au timu za taifa?Kumekuwa na mijadala mbalimbali inayoendelea Mitandaoni kuhusu ni nani kocha bora kwa sasa Duniani. Wengi wamekuwa wakimtaja Pep Guardiola, wengine wakimtaja Zinedine Zidane, lakini pia wapo makocha wengine wenye ubora wa hali ya juu.
Je, yupi ni kocha bora kwa upande wako?
Wataweza kumlipaKweli kabsa,,, pep na huyo wa barca wanabebwa na vkosi vyao pamoja na pesa wakat wa usajiri,,, mm nlitegemea watu kama Big Sam yule wa Everton,, angalia msimu huyu Everton walikuwa na hali gani lkn leo hii wapo nafasi ya ngapi,, muangalie Roy Hogdson yule wa Swansea na sasa Swansea wapo nafasi ya ngapi,,, km Pep ni kocha bora akaichukue Stoke City ilipo leo aipandshe hadi kumi bora