KweliUkilipa kodi,madarasa yakajengwa unaambiwa Mama katoa 12 billion.
Kila mara jambo jipya uanza Afrika.
Napenda kufahamu tuUkorofiiii huo!! 😀 😀
Unarudishiwa kofia na tshirt kipindi cha uchaguziLeo ninapenda kueleweshwa hili la kodi tunazo lipa.
Huduma kama vile - :
Mtanzania anapata wapi Asante ya kodi yake na Masamaki, mamisitu, mazahabu, maalmasi, maserengeti ngorongoro
- Maji tunalipia
- Umeme tunalipia
- Elimu tunalipia
- Hospitali tunalipia
- barabara tunalipia
Africa imelaaniwa haswaUkilipa kodi, madarasa yakajengwa unaambiwa Mama katoa 12 billion.
Kila mara jambo jipya uanza Afrika.
Swali zuriLeo ninapenda kueleweshwa hili la kodi tunazo lipa.
Huduma kama vile - :
Mtanzania anapata wapi Asante ya kodi yake na Masamaki, mamisitu, mazahabu, maalmasi, maserengeti ngorongoro
- Maji tunalipia
- Umeme tunalipia
- Elimu tunalipia
- Hospitali tunalipia
- barabara tunalipia
Wanaoifaidi ni ccmLeo ninapenda kueleweshwa hili la kodi tunazo lipa.
Huduma kama vile - :
Mtanzania anapata wapi Asante ya kodi yake na Masamaki, mamisitu, mazahabu, maalmasi, maserengeti ngorongoro
- Maji tunalipia
- Umeme tunalipia
- Elimu tunalipia
- Hospitali tunalipia
- barabara tunalipia
Unalipa mishahara ya wabunge wakoLeo ninapenda kueleweshwa hili la kodi tunazo lipa.
Huduma kama vile - :
Mtanzania anapata wapi Asante ya kodi yake na Masamaki, mamisitu, mazahabu, maalmasi, maserengeti ngorongoro
- Maji tunalipia
- Umeme tunalipia
- Elimu tunalipia
- Hospitali tunalipia
- barabara tunalipia
ruzuku chadema mumeila hadi mkashindwa kujenga hadi ofisi ya makao makuu hilo umesahau? WAbunge wenu ambao walikuwa hawalipi kodi wameila sana hela ya walipa kodi wakati wakiwa wabunge wasiolipa kodiWanaoifaidi ni ccm
Si tuoapewa tshirt za njano na kofia zake kila miaka mitano inapokamilika! Halafu tunashangilia kichizLeo ninapenda kueleweshwa hili la kodi tunazo lipa.
Huduma kama vile - :
Mtanzania anapata wapi Asante ya kodi yake na Masamaki, mamisitu, mazahabu, maalmasi, maserengeti ngorongoro
- Maji tunalipia
- Umeme tunalipia
- Elimu tunalipia
- Hospitali tunalipia
- barabara tunalipia
KwellUkilipa kodi, madarasa yakajengwa unaambiwa Mama katoa 12 billion.
Kila mara jambo jipya uanza Afrika.
Utalipia hadi OxygenNchi hii ukifikiria mambo mengi utakwama, cha msingi jifanye huoni siku ipite.
Mshahara sijui unaingia leo? hapo watakata PAYE, afu kiasi kilichobakia nitalipa 18% ya mahitaji yangu yote ya mwezi, Maji, Umeme, mafuta ya gari, tozo nk
Napumulia wapi?
Unanikumbusha Song Moja la kibabe la Luckdube la Taxman.Leo ninapenda kueleweshwa hili la kodi tunazo lipa.
Huduma kama vile - :
Mtanzania anapata wapi Asante ya kodi yake na Masamaki, mamisitu, mazahabu, maalmasi, maserengeti ngorongoro
- Maji tunalipia
- Umeme tunalipia
- Elimu tunalipia
- Hospitali tunalipia
- barabara tunalipia
Nimeutafuta huo wimbo na kuusikiliza nimeona Africa safari bado sana tunaitaji miaka lakiUnanikumbusha Song Moja la kibabe la Luckdube la Taxman.
Philip Lucky anauliza analipa kodi ya nini ? kama analipa wakili, dokta? usafiri, ulinzi, elimu, umeme, n.k hiyo kodi anq
yolipa ni ya nini?
Tell me Mr Taxman
Mr Taxman.Nimeutafuta huo wimbo na kuusikiliza nimeona Africa safari bado sana tunaitaji miaka laki