Kodi ikatwe kutumia line za simu ili wengi tulipe

Kodi ikatwe kutumia line za simu ili wengi tulipe

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
FveG9aFWcAMA1gG

Kama line hizi zote zikikatwa 10% ya matumizi
1. kila mtu atakuwa amepewa haki yake ya kulipa kodi
2. mapato ya serikali yataongezeka kwa gharama ndogo
 
Kila mtu anapenda kulipa Kodi kwa ajili ya maendeleo ya nchi yake,
Kinachoumiza ni Kodi kuliwa na ka genge flani wanaoitwa mafisadi na hawaguswi!
Ila naunga mkoni hoja Kodi itakayo patikana waagize zile ford za marekani gari ngumu sana zile!
 
Back
Top Bottom