butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Wewe Nape tuache basi hizo tozo mlizoweka hazitoshi!!![]()
Kama line hizi zote zikikatwa 10% ya matumizi
1. kila mtu atakuwa amepewa haki yake ya kulipa kodi
2. mapato ya serikali yataongezeka kwa gharama ndogo