Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Halafu mkitukata hiyo kodi mnaenda kununulia yale magari yenu ya kifahari ya V8 VXR! Halafu baadaye mnayapindua wakati mnatoka kufanya starehe zenu na watoto wa chuo siyo!!
Mnakata tozo kwenye miamala ya simu! Mnakata tozo kwenye mafuta ya petrol na dizeli! Mnakata elfu 1-5000 kila mwezi kwenye mita za LUKU! Mnakata VAT kwenye bidhaa! Mnakata kodi kwenye biashara mbalimbali za wafanyabiashara!
Bado tu hamtosheki!! Nyinyi ni zaidi ya nguruwe!
Mnakata tozo kwenye miamala ya simu! Mnakata tozo kwenye mafuta ya petrol na dizeli! Mnakata elfu 1-5000 kila mwezi kwenye mita za LUKU! Mnakata VAT kwenye bidhaa! Mnakata kodi kwenye biashara mbalimbali za wafanyabiashara!
Bado tu hamtosheki!! Nyinyi ni zaidi ya nguruwe!