Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bado gharama za kutuma na kupokea ni hatari snMakato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Akaupigie kwa mumeweMama aendelee kuupiga mwingi...
Tunapowaambia ulazima wa kuongea lugha moja kama taifa mnaleta uCCM kila mahali. Wananchi hatuwezi kupata haki kwa kuwa na Bunge la vigelegele.Sisi tunahenyeshwa ili kumaintain maisha ya gharama ya wengine.
Mtu ataona bora kusafiri wilaya moja kwenda nyingine kupeleka hiyo laki atatumia nauli ya shilingi 2000 hadi 3000 ataokoa hasara ya shilingi 7000Safari zitaongezeka, laki makato yake ni zaidi ya 9,500 kutuma na kutolea hapo nauli ya kuifuata ukute haizidi elfu 5 aisee naifuata
Ndivyo itakavyokuaMtu ataona bora kusafiri wilaya moja kwenda nyingine kupeleka hiyo laki atatumia nauli ya shilingi 2000 hadi 3000 ataokoa hasara ya shilingi 7000
Nashangaa marekebisho yamefanyika haraka wakati kipindi cha kurudisha gharama za vifurushi walikua wazito kufanyaMakato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Hatari sana afu kuna mtu atataka na ya kutoleaNchi kwa sasa inakabiliwa na Matatizo makubwa matatu.
- Mwigulu Nchemba
- CCM
- Katiba ya Mwaka 1977
Useme Hapana na Nani? Sisi kwenye Chama chetu tumeridhia.Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Kaamua kumuhujumu mama Ili achukuwe na wananchi.Makato mapya ya Miamala ya fedha katika Simu yanatisha, vipi Muamala mmoja ukatwe kodi mara mbili?
Tuanze pia kuonesha UZALENDO kwenye kukata KODI ya Uzalendo kwenye marupurupu yote wanayolipwa wabunge wetu ambayo kwa sasa hawakatwi chochote
Mfikishieni ujumbe huu Waziri Mwigulu malipo yapo juu sana. Uzalendo huoneshwa kwa mtu kujitoa yeye mwenyewe bila kulazimishwa.
Mtu ana makampuni ya mabus kwa siku anaingiza mamilioni hicho kilio ni kelele kwake.mwigulu unasikia hichi kilio cha wanyonge?